Mangula na Kinana mmejidhalilisha

Mangula na Kinana mmejidhalilisha

Ccm wa ajabu sana, hadi sasa jitihada zao zinajulikana mno mbona. Wanawatumia akina mbatia,mrema, lipumba nk kudhoofisha CDM.

Angalia tbc1 sasa hivi ni nyimbo ya amani na mshikamano bila kujali kwanini sasa amani inatetereka. Kesi tunaziona kila kiongozi wa CDM ana kesi acha wanachama wanaokamatwa eti kisa sms.

Kazi ipo ila wenye kumwamini mungu watashinda na watenda hila wataanguka vibaya.
 
wana jf

ccm chini ya mzee wa pembe za ndovu imepanga mipango mikali sana jamaa wa ndani sana amenitonya kama ifuatavyo:
1. Wanasema kuwa lazima chadema ife kabla ya zoezi la kuteu wagombea wa uraisi na ubunge kutoka vyama kwa uchaguzi 2015 halijafika wala kukaribia, kwa kuwa eti ikifikiwa wakati huo na cdm kikiwa na nguvu iliyonayo sasa hivi, eti
ccm itasambaratika yenyewe na ndio itakuwa mwisho wake.hii wanasema ni kutokana na mgawanyiko uliopo sasa hivi,kwa mtazamo huo jamaa kaniambia wamekuja na plan a na b. Plan a ni kuwabambika kesi viongozi wote wa chadema ili wawe wanahangaika na kesi na fedha zote ziishie kwenye kesi wakose muda wa kufanya mikutano ya kushawishi wananchi,kuongea na wamiliki wa vyombo vya habari kupunguza kabisa kuandika habari ya cdm na kuanzisha vipindi kwenye redio wakati wa asubuhi na jioni vyenye lengo ya kuzunguzia amani kwa lengo la mlango wa nyuma wa kuiponda chadema. Kuwatumia baadhi ya viongozi wa upinzani kuiponda chadema hasa class mate wangu pale udsm mbatia. Jamaa akaniambia kama plan a itashindikana plan b watadili na dr slaa moja kwa moja watadili naye vipi hakunitonya. Tafakari chukua hatua.


imekuwa bahati mbaya sana kuwa kwa muda mrefu watanzania wamekuwa wapumbavu wa kutupwa.walikuwa wakiambiwa kitu basi watakiamini papo hapo.mfano kwamba wakichagua upinzani vita itatokea,waliiamini sana hii kauli.lakini leo hii kila unachowaambia lazima kwanza wakichuje na kutafakari kwa kina sana kabla ya kuchukua uamuzi.mbaya zaidi wale ambao wanatarajiwa kudanganywa ndio wahanga wakubwa kwa kukosa maendeleo,mfano dawa mahosipitalini,umeme,maji,elimu mbou,ufisadi na mengine meeeeeengiiiiiiii.....kila mbinu watakayotumia ni sawa na kutaka kuua tembo kwa ubua......watz hawajalala eti
 
Hii mijitu mijinga kweli,badala ya kuwadhibiti CHADEMA,kwa kutimiza ahadi zao kwa wananchi,yenyewe inang'ang'ana na CHADEMA!!!???Kwa mtindo huu,2015,IKULU ni ya CHADEMA.
 
Mbona hujafichua kila kitu???
Mkakati uliopo ni rahisi saaaana..
Ni kuwaelimisha tuu wananchi ushetani wa chadema, that' all. Na ikishindikana tutarudi kulekule"""" DEMOCRACY IS NOT ALL ABOUT ELECTIONS, IT'S ABOUT NATIONAL STABILITY"" mnayakumbuka ya zanzibar enzi ya SALMIN AMOUR????????
Kwehkweheeeeeeeeeeeeeeeee.
Taifa kwanza then MENDE baadae sana. This country can never be left to dogs.... Ni maneno ya mwalimu Jk NYERERE jamani sio mimi
 
CCM ni ...........................

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Watashindwa maana mpaka mbinu za kigaidi zimetumika lakini zimeshindika. Wao wanahangaika ila Mungu ni mkubwa sana.

amina mzee mwenzangu,wahenga walisema uzee hazina na sisi wazee tunasema hatutokufa kabla ccm haijasambaratika,nina hakika Mungu wetu ni mwema hivyo atatuonyesha wokovu wetu kabla hajatuita kwake.
 
Chama changu CCM,tuwe na mikakati ya kukujenga chama na si kukimaliza CHADEMA,tukubali tu kuwa hawa jamaa hatuwawezi,strategies zao ni za kisomi sana kuliko sisi,tujitahidi kutafuta njia mbadala ya kukijenga chama,pia turudi kwa wananchi na wafanyakazi wa uma tukaanze upwa kuwa bembeleza na kutatua kero zao,beliave me tutafanikiwa 100% ila tukija na mpango huo walio panga baadhi ya viongozi hatutafika popote zaidi ya kujitafutia laana

Mkuu heshima yako! Kama kweli uko ccm na una mawazo hayo ile nafasi ya Mwigulu hakutakiwa kuwa nayo! Ile ni nafasi inayo kufaa wewe ambaye unatumia ubongo kufikiria.
 
Mbona hujafichua kila kitu???
Mkakati uliopo ni rahisi saaaana..
Ni kuwaelimisha tuu wananchi ushetani wa chadema, that' all. Na ikishindikana tubarudi kulekule"""" DEMOCRACY IS NOT ALL ABOUT ELECTIONS, IT'S ABOUT NATIONAL STABILITY"" mnayakumbuka ya zanzibar enzi ya SALMIN AMOUR????????
Kwehkweheeeeeeeeeeeeeeeee.
Taifa kwanza rhen MENDE baadae sana. This country can never be left to dogs.... Ni maneno ya mwalimu Jk NYERERE jamani sio mimi

hata km yakitokea hayo mkuu,huku yuko pro Safari hapa Tundu Lissu,huku Nyaronyo Kicheere hapa Peter Kibatala mbona lazima watakaa tu,km arusha wamekubali sembuse kwenye hiyo michongo? 4-0 zimewachanganya sana ila no way out lazima waachie nchi whether they like o not.
 
Mtahangaika sana lakini fimbo mnazo na mwisho wa siku mtajuta tu mnadhani ugaidi ndiyo mkombozi wenu hamtafanikiwa daima.
 
hata km yakitokea hayo mkuu,huku yuko pro Safari hapa Tundu Lissu,huku Nyaronyo Kicheere hapa Peter Kibatala mbona lazima watakaa tu,km arusha wamekubali sembuse kwenye hiyo michongo? 4-0 zimewachanganya sana ila no way out lazima waachie nchi whether they like o not.
Unajua kati ya hawa hakuna mzima hata mmoja tena lisu ndiyo kabisa mtagota tu.
 
Mkuu heshima yako! Kama kweli uko ccm na una mawazo hayo ile nafasi ya Mwigulu hakutakiwa kuwa nayo! Ile ni nafasi inayo kufaa wewe ambaye unatumia ubongo kufikiria.
Kwani tumaini makene siku hizi yupo ccm? aka molemo danganya watoto wa moshi na rombo.
 
Wana muweweseko mkubwa sana. Uongozi wa nchi umewashinda sasa wamebaki kupanga mikakati ya kiharamia kupitia vyombo vya dola. CCM na DHAIFU ni majanga ya Taifa.
 
Watashindwa maana mpaka mbinu za kigaidi zimetumika lakini zimeshindika. Wao wanahangaika ila Mungu ni mkubwa sana.

Huu uzushi peleka kwa ma......m..a yako. Mnatuboa hivi mnafikiri hili ni jukwaa la ccm na cdm au mnafikiri kila mtu ccm na cdm.
 
Chadema imefika wakati wanajisingizia hata wao wenyewe kazi wanayo,mara zito kirusi,mara anatumika sijui kawaroga nani.
 
Ngoja tuone mwisho wa mipango yao, maana mingi imefail vibaya sana
 
Wana jf

CCM chini ya Mzee wa pembe za ndovu imepanga mipango mikali sana jamaa wa ndani sana amenitonya kama ifuatavyo:
1. Wanasema kuwa lazima CHADEMA ife kabla ya zoezi la kuteu wagombea wa uraisi na ubunge kutoka vyama kwa uchaguzi 2015 halijafika wala kukaribia, kwa kuwa eti ikifikiwa wakati huo na CDM kikiwa na nguvu iliyonayo sasa hivi, eti
CCM itasambaratika yenyewe na ndio itakuwa mwisho wake.Hii wanasema ni kutokana na mgawanyiko uliopo sasa hivi,Kwa mtazamo huo jamaa kaniambia wamekuja na plan A na B. Plan A ni kuwabambika kesi viongozi wote wa CHADEMA ili wawe wanahangaika na kesi na fedha zote ziishie kwenye kesi wakose muda wa kufanya mikutano ya kushawishi wananchi,kuongea na wamiliki wa vyombo vya habari kupunguza kabisa kuandika habari ya CDM na kuanzisha vipindi kwenye redio wakati wa asubuhi na jioni vyenye lengo ya kuzunguzia amani kwa lengo la mlango wa nyuma wa kuiponda CHADEMA. Kuwatumia baadhi ya viongozi wa upinzani kuiponda chadema hasa class mate wangu pale UDSM Mbatia. Jamaa akaniambia kama plan A itashindikana plan B watadili na Dr Slaa moja kwa moja watadili naye vipi hakunitonya. Tafakari chukua hatua.[/QUOTE
 
Vichaa wameshikana mikono wanaongozana.
Watuuwe wanachadema wote wabaki wao na CCM yao
 
CCM wajue adui yao ni nani. CDM imepanda mbegu na ili kuiua hiyo mbegu ua watanzania maana hata ukiua CDM wapenzi wa CDM utatutupa wapi?
 
Wana jf

CCM chini ya Mzee wa pembe za ndovu imepanga mipango mikali sana jamaa wa ndani sana amenitonya kama ifuatavyo:
1. Wanasema kuwa lazima CHADEMA ife kabla ya zoezi la kuteu wagombea wa uraisi na ubunge kutoka vyama kwa uchaguzi 2015 halijafika wala kukaribia, kwa kuwa eti ikifikiwa wakati huo na CDM kikiwa na nguvu iliyonayo sasa hivi, eti
CCM itasambaratika yenyewe na ndio itakuwa mwisho wake.Hii wanasema ni kutokana na mgawanyiko uliopo sasa hivi,Kwa mtazamo huo jamaa kaniambia wamekuja na plan A na B. Plan A ni kuwabambika kesi viongozi wote wa CHADEMA ili wawe wanahangaika na kesi na fedha zote ziishie kwenye kesi wakose muda wa kufanya mikutano ya kushawishi wananchi,kuongea na wamiliki wa vyombo vya habari kupunguza kabisa kuandika habari ya CDM na kuanzisha vipindi kwenye redio wakati wa asubuhi na jioni vyenye lengo ya kuzunguzia amani kwa lengo la mlango wa nyuma wa kuiponda CHADEMA. Kuwatumia baadhi ya viongozi wa upinzani kuiponda chadema hasa class mate wangu pale UDSM Mbatia. Jamaa akaniambia kama plan A itashindikana plan B watadili na Dr Slaa moja kwa moja watadili naye vipi hakunitonya. Tafakari chukua hatua.



Kabla ya hapo walianza na plan ya ukanda; wakashidwa baada ya CDM kuenea nchi nzima.

Wakaja na plan ya ukabila; wakashindwa baada ya CDM kuenea kwa Wasukuma, Wanyamwezi, Wanyaturu, Wanyakyusa,Wahehe, Waha..n.k.

Wakasema CDM ni chama cha msimu wakashindwa; CDM ndio kwanza kinazidi kupaa kila kukicha ndio maana viongozi wa serikali wakiamka CDM, akilala CDM....

Wakaja na plan ya ugaidi hata kiongozi wao (CCM) wa juu akakiri mbele ya Bunge kutoa ushahidi duniani na mbinguni kudhibitisha haja yake. Mpaka leo na kesho hakuweza na hataweza kudhibitisha....

Sasa wanakuja na plan ya kutumia jeshi la polisi na vyombo vingine vya dola kupiga raia ikiwa ni pamoja na kudhibiti mikutano ya CDM isifanyike na hata ikifanyika isifanyike kwa amani. Lengo ni moja tu; kudhoofisha nguvu kubwa ya CDM. Lakini historia inaonyesha hakuna jeshi lolote duniani linaloweza kushindana na nguvu ya umma...
 
Mbna viongoz wote wana kesi,labda wasema wanawaongezea kesi!!!!!

Hapa wajue hawapigan na mbowe au dr.slaa,bt wana deal na sie tulie fall in love with cdm.

Watatulia tu,hao ngja tuone. tunajua hz sarakas zote target yao ni dk. slaa.

Tutapambna nao ck zote
cdm we believe in god

Hili jambo ni gumu sana yani kama mimi CDM hawanijiu lakini kila ninapokaa na watu wapya nahakikisha natoa elimu ya uraia, yaani mimi nimeapa ni mtu kwa mtu mpaka siku Uongozi unaomjali mwananchi upatikane.

nawashauri wengine wapenda haki tusisubiri M4C ya viongozi wa CDM bali kwenye mitaa yetu na vijijini kwetu ni elimu ya uraia hasa ya kupiga kura ni muhimu.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom