mbinu ambazo washatumia dhidi ya chadema bila mafanikio ni kubwa mno zaidi ya hivyo wanavyopanga kufanya... ni kama wanarudi nyuma... wawe wabunifu zaidi... ila jambo moja wanasahau ni kwamba si kwamba chadema ni chama bora sana ila ni kwa sababu ccm imechokwa sana... chumvi ikishaisha ladha yake itatiwa nini hata ifae tena?? hakuna isipokuwa kutupwa jalalani...