Lakini kwanini nyinyi wanaCDM mnafurahia sana migogoro ndani ya chama chetu tawala? Hamjui CCM si CDM? Na CCM ikiyumba na nchi lazima itayumba! Mkionaga simba wanararuana kaeni mbali kama hamtafuti kuchafuka damu!
ccm banah,, shabikieni na hili sasa ukoo wa panya nyie kazi yenu kugombnia mali zetu
Mangula makamu mwenyekti wa CCM Taifa amepigilia msumari mkali kwenye ndoto ya Edward Lowassa kwa kumwambia bora aondoke kwani hata simamishwa na CCM kama mgombea wake wa Urais kwani matendo anayofanya yanampoyezea sifa ya kuwa mgombea wa CCM labda chama kingine!
Kayasema hayo leo mchana Lumumba CCM Sub HQs!
-------------------------
Ndudu wana Jf,
Matamko mawili ya vioungozi wa juu wa CCM Nape na Mangula, yameenda kinyume na campaign ambazo wanaCCM hapa Jf wamekuwa wakipiga kuhusu Democrasia ndani ya vyama huku wakiinanga Chadema kuwa inamnyima Zitto Kabwe Demicrasia ndani ya Chama. Je anachokifanya Lowassa sicho ambacho Zitto amekemewa na kuchukuliwa hatua ndani ya Chama chake Chadema? Kama ni jambo la Kidemocrasia kwanini Nape na Mangula wamemjia juu Lowassa? Vijana wa CCM acheni unafiki, vyama lazima viendeshwe kwa kanuni na taratibu, otherwise itakuwa ni vurungu za kilabu cha pombe za kienyeji.
CC:
Ritz, MSALANI, Lizaboni etc
Wazee wengine sijui vip.. yaani bila aibu eti anatoka mbele za watu kukemea harambee na michango mbalimbali ya viongozi wa chama eti ni rushwa na watachukuliwa hatua... Lowassa anasaidia sana chama kujijenga na kujitangaza mana bila harambee zake sijui ccm wangekuwa wapi??? na wakina Nape Nnauye umaarufu wangeutoa wapi.. Lowassa anasaidia sana hata Mangula kuonekana channel ten ni kwa ajili yake, isingekuwa Lowassa angeongea nini sasa!!!
Lowassa anafanya kazi za viongozi wa chama ila kwa chuki watu wanapiga majungu, kama nao wanaweza wafanye nao harambee basi tuone kama watapata watu, in short ndo kichwa ndani ya ccm kwa sasa, waondoke wote ccm itabaki ila akiondoka yeye ndo mwisho wa chama..
CCM wawe na shukrani, Lowassa anawasaidia sana kina Mangula..
I dont believe dis .... !
Jamani Huyu Mangula si ndiye aliyepeleka File Kubwa Eti lenye Madhambi na KUMUUA Kikwete 2005, ILI Kikwete asipitishwe kugombea Urais. Mzee Huyu mlima nyanya Kweli ni mtu aw Chuki. HAKOMI. NAPE naye Huyu ni CCJ yupo pale kwa Hisani ya Marehemu baba yake. HATA na Akina CCJ wakiongozwa na mzee SIX nao Wana ROPOKENI hovyo.Mangula makamu mwenyekti wa CCM Taifa amepigilia msumari mkali kwenye ndoto ya Edward Lowassa kwa kumwambia bora aondoke kwani hata simamishwa na CCM kama mgombea wake wa Urais kwani matendo anayofanya yanampoyezea sifa ya kuwa mgombea wa CCM labda chama kingine!
Kayasema hayo leo mchana Lumumba CCM Sub HQs!
-------------------------
Lowasa rais wa JMT 2015 full stop!
Vipi kuhusu, Membe, Sitta na Mama Migiro?
Hao pamoja na mzee wa gongo,Mtikila,Dovutwa nimekuachia wewe
Like jengo limesimamishwa kwa sababu limejengwa kimakosa pale ni sehemu ya mto na alitumia pesa kupata kibali kujenga eneo ambalo alistahili kabisa itakuwa madiwani wa Chadema wamelizuia.Tukiachilia mbali ushabiki, Huyu Lowasa afai ata kupangisha mitaa karibu na magongoni.y
Huyu jamaa kwa anayeishi Arusha atakubaliana na mimi kuwa amewateka matajiri karibu wote wa Arusha na kuzitumia pesa zao katika harakati zake za kuusaka uraisi.
Mathias Manga mmiliki wa jengo la gorofa 13 lililopo sakina darajani ni mmoja wa matajiri ambae Lowasa anatumia pesa zake katika kuusaka uraisi, na kwasasa huyu tajiri amesimamisha ujenzi wa gorofa lake ambalo lilikuwa likamilike january 2014 na kuzielekeza mabilioni yake katika kuipa nguvu harakati za Lowasa.
Sasa cha kujiuliza ni nani atakae walipa hao mabilionea pesa zao?