...
Mangula alisema kwa mujibu wa kanuni za chama hicho, mwanachama anayefanya mambo kinyume na kanuni huitwa msaliti na hafai kuendelea kufumbiwa macho kwani anaweza kukiangamiza chama wakati wowote.
...
Mzee Mangula amuulize Jk kilichotaka kumtokea pale Dodoma walipotaka kumfukuza Lowassa au alipotaka kuifuta Uvccm aliambiwa nini.
Unalinganisha na waraka wa ushindi 2013 by Samson mwigamba?lakini hawa wenzetu hawatawafukuza wala kuwavua vyeo vyao akina fisadi EL na wala hawatawaita wahaini
Mangula makamu mwenyekti wa CCM Taifa amepigilia msumari mkali kwenye ndoto ya Edward Lowassa kwa kumwambia bora aondoke kwani hata simamishwa na CCM kama mgombea wake wa Urais kwani matendo anayofanya yanampoyezea sifa ya kuwa mgombea wa CCM labda chama kingine!
Kayasema hayo leo mchana Lumumba CCM Sub HQs!
-------------------------
wewe tumia akili mangula anapinga nini?mwekundu maana kila kitu amesema Mangula sasa mnao mtetea ZZK,na Dr Kitila na Mwigamba mpo wapi?ccm mlimfukuza Mansoor Himid mwakilishi wa jimbo la kiembe samaki kisa anaunga mkono serikali 3 sasa leo wafukuzeni wakina warioba kisa wametoa tena kwenye rasimu ya 2 ya katiba mnatetea ujinga yie vijana wa lumumba njooni hapa leo jamvini mmpingeni Mangula
ccm hakukaliki ila wako busy kuiyukana chadema..