tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Kama ni kuumwa kila mtu ni mgonjwa na marehemu mtarajiwa,no one knows his/ her future,wote tunaishi kwa Neema tu na Mungu ni wa wote....asijifanye ana final say over Tanzanians,tutakamilisha maamuzi yetu 25October
umenena,
this girl is sooo stupid, sijawahi kuona mtu asiyejimbua kama mange, kwanza the way she potray a message towards something anadhihirisha kwamba aidha ana chuki juu ya mtu au ana personal interest, she never focus into reality, huyu binti amejaa chuki sijawahi kuona, anajiona yeye ndio perfect in everything, kutwa kucha kujadili personal issues za watu,ndoa za watu,maisha binafsi ya watu,rafiki zake, kiukweli anajiaibisha,
ana image mbaya sana mbele za watu kutokana na aina yake ya uandishi na chuki za mitandaoni,wakati mwingine huwa nadhani ni mtu ambae hana shughuli za kufanya, how comes mtu unapata muda wa kujadili watu?
she really needs to change, ndoa yake ipo mashakani kwa sababu ya tabia zake
Lowassa tunakupa kuraaaaa ambae hatakiiiii afeeeee babaa
Huyu mange ni taahira tumpe mda 2 ataanza kuokota makopo.....kaka yke ni mnene kma pipa huo c ugonjwa yeye kifua n mdomo vikubwa kuliko mwili sasa huo nao c ugonjwa
hahahaaa daaah kweli nimeamini mange ni mgonjwa,maana vitu anavyofanya si vya kibinadamu
Umaskini umezidi? Upi? Umaskini wa kuwezesha leo Watz kusafiri kwa ndege? barabara kupitika? Madarasa ya kutosha? Fursa za kumwaga! Yaani umaskini upi sielewi! Term Umaskini iko very broad and relative!!
Kama ni Rushwa hata Marekani ipo, huwezi kuzuia rushwa coz it's human nature to be greedy and selfish! Madawa ya kulevya, damn are u serious? Stop mentioning the WW3 stuffs!
Not every dreamer is sacred!
Mpaka leo hakuvaa uniform za chama chake, itakuwa Ilani? You don know him better. Pls, follow your heart but don forget to bring your head with you dear sister!
Let's get back to Mange! She's free to air her opinions anyway....
No more comment, you are blinded. May be you're too sympathetic, I can not judge u dear! But remember he's asking for the biggest office, so we must question him!! The right to be voted goes hand in hand with being questioned of your deeds!
Tanzanians do not read, do not do follow-ups, do not connect dots, the worst of it all, DO NOT TAKE PROPER ACTIONS BECAUSE THEY CAN'T MAKE OBLIGATORY DECISIONS!
What I see is some desperate souls trying to hold a straw to escape from drowning!
Of all people, Lowassa? Really?!!!! You guys go consult a psychiatrist!!!!
wafaidika na mfumo hawa! hukumu yao october wataisoma namba!!! hawana sababu yoyote ya kusupport ccm hawana hoja wamejaa matusi tu kutukana ukawa a bit piece of advice ungeanza labda kuelezea ccm imefanya nn miaka 50 ya uhru? alafu kuniambia lowassa fisadi how does that change my life from being poor yesterday to be good today so that i can vote for ccm? i vote ccm out not because lowassa is not fisadi or whatever its because ccm hasnt done anything for the past 54yrs or so they have been in power hence any change will do since it cant get any worse than this!!!
na ukitaka kujua kwamba wanaelekea kushindwa matusi sasa ivi yamekua makali zaid...... kwamba dawa inawaingia..... last kick of the dying horse.
Hapo ndio ulipochanganya...mara ya kwanza I thought ulikuwa independent kama mie..Ok swali moja hilo genge lake wengi wako wapi? Si hata mkulu wetu nae alikuwa kwenye genge lake? Lowasa fisadi ndio lakini na waliobaki CCM nao mafisadi vile vile so wakati mwingine "economy of scale" inatumika..
Naomba unirushie Huo umbea shogaa simu yangu mbovuuuuuMume wameachana pia kitambo, amekuwa nuksi kawafilisi kutaka maisha ya juu
eheheeee makubwaHuyu mdada kaumbuliwa insta na uongo wa picha alipohamia LA alisema kwake kumbe ni eneo la reception ya apartments alificha kupiga kaunta ya mapokezi