mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,624
Ila kwenye ukweli tumpe vigelegele mwanamke huyu Mange Kimambi anajitahidi sana kwenye kukampenia CCM ( Chama cha Mapinduzi).
Niliachaga kusoma mambo take wiki iliyopita nikakutana na post take ndio karusha, so knajua tena ukiwa una folo watu mamia au maelfu unavyowezwa pitwa.
Nikafungua nikakuta page yake duh kijani na njano tu rangi...
Anapamba maneno na kuelewesha ujue kinachoendelea huko kwenye vyama vya upinzani kwa yoteeeeee
Kokote kwenye viburudisho niiteni nisome mie, tunaishi na uhai mmoja.
Sema Haleluyah...Amen.
Niliachaga kusoma mambo take wiki iliyopita nikakutana na post take ndio karusha, so knajua tena ukiwa una folo watu mamia au maelfu unavyowezwa pitwa.
Nikafungua nikakuta page yake duh kijani na njano tu rangi...
Anapamba maneno na kuelewesha ujue kinachoendelea huko kwenye vyama vya upinzani kwa yoteeeeee
Kokote kwenye viburudisho niiteni nisome mie, tunaishi na uhai mmoja.
Sema Haleluyah...Amen.