Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

Kama ni kuumwa kila mtu ni mgonjwa na marehemu mtarajiwa,no one knows his/ her future,wote tunaishi kwa Neema tu na Mungu ni wa wote....asijifanye ana final say over Tanzanians,tutakamilisha maamuzi yetu 25October

Huyo ni kichaa mbna yeye mgonjwa kifua kikubwa n domo kubwa mwili kisoda huo ni ugonjwa.....kumsema edo hakumsaidii ccm kumpa chochote kajichokea huyo maisha y kuuza mitumba ni magumu
 
umenena,
this girl is sooo stupid, sijawahi kuona mtu asiyejimbua kama mange, kwanza the way she potray a message towards something anadhihirisha kwamba aidha ana chuki juu ya mtu au ana personal interest, she never focus into reality, huyu binti amejaa chuki sijawahi kuona, anajiona yeye ndio perfect in everything, kutwa kucha kujadili personal issues za watu,ndoa za watu,maisha binafsi ya watu,rafiki zake, kiukweli anajiaibisha,

ana image mbaya sana mbele za watu kutokana na aina yake ya uandishi na chuki za mitandaoni,wakati mwingine huwa nadhani ni mtu ambae hana shughuli za kufanya, how comes mtu unapata muda wa kujadili watu?

she really needs to change, ndoa yake ipo mashakani kwa sababu ya tabia zake

Huyu mange ni taahira tumpe mda 2 ataanza kuokota makopo.....kaka yke ni mnene kma pipa huo c ugonjwa yeye kifua n mdomo vikubwa kuliko mwili sasa huo nao c ugonjwa
 
Huyu mange ni taahira tumpe mda 2 ataanza kuokota makopo.....kaka yke ni mnene kma pipa huo c ugonjwa yeye kifua n mdomo vikubwa kuliko mwili sasa huo nao c ugonjwa

hahahaaa daaah kweli nimeamini mange ni mgonjwa,maana vitu anavyofanya si vya kibinadamu
 
Umaskini umezidi? Upi? Umaskini wa kuwezesha leo Watz kusafiri kwa ndege? barabara kupitika? Madarasa ya kutosha? Fursa za kumwaga! Yaani umaskini upi sielewi! Term Umaskini iko very broad and relative!!

Kama ni Rushwa hata Marekani ipo, huwezi kuzuia rushwa coz it's human nature to be greedy and selfish! Madawa ya kulevya, damn are u serious? Stop mentioning the WW3 stuffs!

Not every dreamer is sacred!

Mpaka leo hakuvaa uniform za chama chake, itakuwa Ilani? You don know him better. Pls, follow your heart but don forget to bring your head with you dear sister!

Let's get back to Mange! She's free to air her opinions anyway....

Hapo ndio ulipochanganya...mara ya kwanza I thought ulikuwa independent kama mie..Ok swali moja hilo genge lake wengi wako wapi? Si hata mkulu wetu nae alikuwa kwenye genge lake? Lowasa fisadi ndio lakini na waliobaki CCM nao mafisadi vile vile so wakati mwingine "economy of scale" inatumika..
 
kule instagram kuna mtu anaitwa kichwapanzi, anamshushuaje mange sasa!
Halafu anaweka mpaka na evidence.......mwaka huu tutaona hata tusiyoyatarajia!!
 
No more comment, you are blinded. May be you're too sympathetic, I can not judge u dear! But remember he's asking for the biggest office, so we must question him!! The right to be voted goes hand in hand with being questioned of your deeds!

Tanzanians do not read, do not do follow-ups, do not connect dots, the worst of it all, DO NOT TAKE PROPER ACTIONS BECAUSE THEY CAN'T MAKE OBLIGATORY DECISIONS!

What I see is some desperate souls trying to hold a straw to escape from drowning!

Of all people, Lowassa? Really?!!!! You guys go consult a psychiatrist!!!!

wafaidika na mfumo hawa! hukumu yao october wataisoma namba!!! hawana sababu yoyote ya kusupport ccm hawana hoja wamejaa matusi tu kutukana ukawa a bit piece of advice ungeanza labda kuelezea ccm imefanya nn miaka 50 ya uhru? alafu kuniambia lowassa fisadi how does that change my life from being poor yesterday to be good today so that i can vote for ccm? i vote ccm out not because lowassa is not fisadi or whatever its because ccm hasnt done anything for the past 54yrs or so they have been in power hence any change will do since it cant get any worse than this!!!

na ukitaka kujua kwamba wanaelekea kushindwa matusi sasa ivi yamekua makali zaid...... kwamba dawa inawaingia..... last kick of the dying horse.
 
wameshindwa kina lipumba na slaa itakua machangudoa hawa!!!! just to show how low ccm is from slaa and lipumba to the likes of ant ezekiel, ray, mange cjui kala maharage ya wapi huyu!!!!
 
wafaidika na mfumo hawa! hukumu yao october wataisoma namba!!! hawana sababu yoyote ya kusupport ccm hawana hoja wamejaa matusi tu kutukana ukawa a bit piece of advice ungeanza labda kuelezea ccm imefanya nn miaka 50 ya uhru? alafu kuniambia lowassa fisadi how does that change my life from being poor yesterday to be good today so that i can vote for ccm? i vote ccm out not because lowassa is not fisadi or whatever its because ccm hasnt done anything for the past 54yrs or so they have been in power hence any change will do since it cant get any worse than this!!!

na ukitaka kujua kwamba wanaelekea kushindwa matusi sasa ivi yamekua makali zaid...... kwamba dawa inawaingia..... last kick of the dying horse.

Pathetic! You've invested your deep emotions in the losing battle! I won't answer your questions on ''CCM hasn't done anything so far'', coz you sound more of a fanatic than logical.. Despite the fact that I do not cherish CCM, but it's being too blind not to see what CCM has done for this country over this whole period of time!

For your information, CCM will beat u up this time for just your wrong pick of the dice...

Save this comment dear!
 
Hapo ndio ulipochanganya...mara ya kwanza I thought ulikuwa independent kama mie..Ok swali moja hilo genge lake wengi wako wapi? Si hata mkulu wetu nae alikuwa kwenye genge lake? Lowasa fisadi ndio lakini na waliobaki CCM nao mafisadi vile vile so wakati mwingine "economy of scale" inatumika..

At least you've tried to grasp my points. Edo and whoever the co's can never take this country by their wishing! They have to know it belongs to more than just him and his fellow accomplices. They created camps so that they can prolong their interests over decades.. Bravo JK for tearing this bullshit up (though u took part in the beginning of all this ----). What you have done for this nation, you have saved many.

Time shall advocate for itself!
 
Siasaaaaaaa......mwaka huu tutajionea mengi......!!!!! Ila lowasa anawaumiza ccm mno......nahisi awapati isingizi tangia kampeni zianze......... na pesa walizotumia ni nyingi mno bila upepo kubadilika wapendavyo.... sasa wamechanganyikiwa. ......na muda unayoyoma
 
Na kumbe kamfilisi mumewe aliyefanya afilisi wazazi wake hadi wakauza nyumba yao li mansion na kuhamia wanapopanga. Hadi picha za mwezi wa tatu za tangazo zimewekwa.
 
Mume wameachana pia kitambo, amekuwa nuksi kawafilisi kutaka maisha ya juu
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom