Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

Madam, nijuze tu, alichobadilika Mheshimiwa ni nini? Au kupanda daladala, kunywa chai Tandale na kujaza nyomi ndio alama za kubadilika kwake?

Hivi hujui au hujafuatilia umafia wa rasilimali uliofanywa na viongozi wa nchi hii akiwemo huyo unayemtetea? Unajua kisa cha kupeleka maji maeneo yenye uchimbaji wa dhahabu kwa wingi kuliko jimboni kwae kipindi alipokuwa waziri wa maji? Unajua madeal yake na yule Mzee asiyemwamini hata Mungu aliyemuumba? Unajua 'genge' lake vizuri? Unajua kwanini anaumwa ugonjwa usiofahamika vizuri chanzo chake? Unajua kwanini pamoja na kuonekana yuko taabani lakin bado anakazania kupambana? Is it for love?

Shida yangu ni kukuuliza, unamjua kweli unayemtetea? Au umevutiwa na kiitikio cha Mabadiliko?!

Watanzania ni watu wa ajabu mno. Hakika tunastahili tuzo! Yaani leo hii unamtetea mtu anayesababisha unalipa umeme kwa gharama za juu na usio na uhakika kwa maslahi yake na watu wake (whoever concerned, hata km na Mkulu yumo) kupitia madili waliyoshirikiana na hao maswahiba wake enzi hizo?!

Hivi unachokiona kwa ndugu huyu ni nia ya dhati kweli ya kuleta hayo mabadiliko yanayoimbwa au ni kuchukua power kulinda maslahi yake na kuwakomesha wakina fulani? You really need some church my sister!!!

Sisapoti anachokifanya Mange, lakini come ooon, have some brains basi, coz huyo unayemsema (Mange) ni kama kichaa aliyekuibia nguo halafu nawe unamkimbiza ukiwa uchi. Hawa jamaa sio wa kuwatetea. Wote ni wash****!

Bora ungemkemea tu Mange kudhihaki afya ya mheshimiwa, lakini usiseme huyo jamaa ame'change, HELL!

WAKE UP TZ!!!

Tunamtaka ivo ivo, na usheitwani wake.
 
Madam, nijuze tu, alichobadilika Mheshimiwa ni nini? Au kupanda daladala, kunywa chai Tandale na kujaza nyomi ndio alama za kubadilika kwake?

Hivi hujui au hujafuatilia umafia wa rasilimali uliofanywa na viongozi wa nchi hii akiwemo huyo unayemtetea? Unajua kisa cha kupeleka maji maeneo yenye uchimbaji wa dhahabu kwa wingi kuliko jimboni kwae kipindi alipokuwa waziri wa maji? Unajua madeal yake na yule Mzee asiyemwamini hata Mungu aliyemuumba? Unajua 'genge' lake vizuri? Unajua kwanini anaumwa ugonjwa usiofahamika vizuri chanzo chake? Unajua kwanini pamoja na kuonekana yuko taabani lakin bado anakazania kupambana? Is it for love?

Shida yangu ni kukuuliza, unamjua kweli unayemtetea? Au umevutiwa na kiitikio cha Mabadiliko?!

Watanzania ni watu wa ajabu mno. Hakika tunastahili tuzo! Yaani leo hii unamtetea mtu anayesababisha unalipa umeme kwa gharama za juu na usio na uhakika kwa maslahi yake na watu wake (whoever concerned, hata km na Mkulu yumo) kupitia madili waliyoshirikiana na hao maswahiba wake enzi hizo?!

Hivi unachokiona kwa ndugu huyu ni nia ya dhati kweli ya kuleta hayo mabadiliko yanayoimbwa au ni kuchukua power kulinda maslahi yake na kuwakomesha wakina fulani? You really need some church my sister!!!

Sisapoti anachokifanya Mange, lakini come ooon, have some brains basi, coz huyo unayemsema (Mange) ni kama kichaa aliyekuibia nguo halafu nawe unamkimbiza ukiwa uchi. Hawa jamaa sio wa kuwatetea. Wote ni wash****!

Bora ungemkemea tu Mange kudhihaki afya ya mheshimiwa, lakini usiseme huyo jamaa ame'change, HELL!

WAKE UP TZ!!!

Hata kama alileta maji kwa interest zake but at least He was not selfish coz hadi leo huduma ya maji inaendelea na tatizo la maji ni historia hapa mkoani kwetu.


Hata kama alipiga madeal hiyo ni akili yake na malupulupu kwa nafasi yake,mengine kumuhusu anajua MUNGU....let us not judge others just bcoz they sin different from us!

Hata hivyo it's H
His right to vote and to be voted kama mna ushahidi wa yote hayo mpelekeni mahakamani,Membe mshamsahau wal hakuna anayemzungumzia kutwa Lowassa mwacheni Mzee azeeke kwa amani
 
Hata kama alileta maji kwa interest zake but at least He was not selfish coz hadi leo huduma ya maji inaendelea na tatizo la maji ni historia hapa mkoani kwetu.


Hata kama alipiga madeal hiyo ni akili yake na malupulupu kwa nafasi yake,mengine kumuhusu anajua MUNGU....let us not judge others just bcoz they sin different from us!

Hata hivyo it's H
His right to vote and to be voted kama mna ushahidi wa yote hayo mpelekeni mahakamani,Membe mshamsahau wal hakuna anayemzungumzia kutwa Lowassa mwacheni Mzee azeeke kwa amani

No more comment, you are blinded. May be you're too sympathetic, I can not judge u dear! But remember he's asking for the biggest office, so we must question him!! The right to be voted goes hand in hand with being questioned of your deeds!

Tanzanians do not read, do not do follow-ups, do not connect dots, the worst of it all, DO NOT TAKE PROPER ACTIONS BECAUSE THEY CAN'T MAKE OBLIGATORY DECISIONS!

What I see is some desperate souls trying to hold a straw to escape from drowning!

Of all people, Lowassa? Really?!!!! You guys go consult a psychiatrist!!!!
 
No more comment, you are blinded. May be you're too sympathetic, I can not judge u dear! But remember he's asking for the biggest office, so we must question him!! The right to be voted goes hand in hand with being questioned of your deeds!

Tanzanians do not read, do not do follow-ups, do not connect dots, the worst of it all, DO NOT TAKE PROPER ACTIONS BECAUSE THEY CAN'T MAKE OBLIGATORY DECISIONS!

What I see is some desperate souls trying to hold a straw to escape from drowning!

Of all people, Lowassa? Really?!!!! You guys go consult a psychiatrist!!!!

That's ur perception bro,it was His dream to become a president of Tanzania kwani vibaya mtu kufight for ur dreams?!
Tangu ajiuzulu mbona umaskini umezidi,rushwa,madawa ya kulevya na mengine mengi tu kutokana na mfumo huu uliopo hata akiingia madarakani tutatimiza ilani ya CDM / UKAWA so I dor worry on that
 
No more comment, you are blinded. May be you're too sympathetic, I can not judge u dear! But remember he's asking for the biggest office, so we must question him!! The right to be voted goes hand in hand with being questioned of your deeds!

Tanzanians do not read, do not do follow-ups, do not connect dots, the worst of it all, DO NOT TAKE PROPER ACTIONS BECAUSE THEY CAN'T MAKE OBLIGATORY DECISIONS!

What I see is some desperate souls trying to hold a straw to escape from drowning!

Of all people, Lowassa? Really?!!!! You guys go consult a psychiatrist!!!!

Lowasa is our next prezdaaa...kama hupendi kale malimao.
 
That's ur perception bro,it was His dream to become a president of Tanzania kwani vibaya mtu kufight for ur dreams?!
Tangu ajiuzulu mbona umaskini umezidi,rushwa,madawa ya kulevya na mengine mengi tu kutokana na mfumo huu uliopo hata akiingia madarakani tutatimiza ilani ya CDM / UKAWA so I dor worry on that

Umaskini umezidi? Upi? Umaskini wa kuwezesha leo Watz kusafiri kwa ndege? barabara kupitika? Madarasa ya kutosha? Fursa za kumwaga! Yaani umaskini upi sielewi! Term Umaskini iko very broad and relative!!

Kama ni Rushwa hata Marekani ipo, huwezi kuzuia rushwa coz it's human nature to be greedy and selfish! Madawa ya kulevya, damn are u serious? Stop mentioning the WW3 stuffs!

Not every dreamer is sacred!

Mpaka leo hakuvaa uniform za chama chake, itakuwa Ilani? You don know him better. Pls, follow your heart but don forget to bring your head with you dear sister!

Let's get back to Mange! She's free to air her opinions anyway....
 
Ukilala ukiamka, ukila ukishiba, ukinya ukimaliza basi utaanza kuwasema UKAWA.

Back to the point, Lowassa wa leo si Lowassa wa miaka 8 iliyopita, you are judging the different person. As u know people change, every saint got a past and every sinner has a future, only God can judge us all coz anaona zaidi ya macho ya binadamu, he looks at the heart!!

Kama Mungu ameamua Lowassa awe rais wa Tz na atakuwa tu, kama wewe na ndgu zako CCM mngekuwa na ushahidi mngemshtaki since then sio mnatoa povu leo, no prove no right to say, watch your moves mwanamke.

Jinsi unafatilia ya UKAWA surely u must be our Biggest Fan, ila unafki unakusumbua. Halafu uwe na adabu, Lowassa ni kama Baba yako kumdhalilisha hivyo utalaaniwa zaidi ya hapo.

Mange u don't look good when u make others look bad,coz maneno yako toward Him they reflect urself,dats y ulishindwa na ubunge, jiulize why ulishindwa! You are not good enough for our country. Halafu ni njaa tu zinakusumbua ubunge ungekuwa wa kujitolea bila pesaaa ungetoka USA kuja kugombea!

Shame on u, mxieeeww..

Yupo humu ndani anaweweseka tu kila uchwao na kabadili ID yake.

cc: Mrembobynature Binti Magufuli
 
Last edited by a moderator:
Mwache aongee tutasema na ya kwao na story za Mzee wake maana anajifanya mdomo mrefu tukitoa ya kwao hata amini tunayajua sana ya Mzee wako
 
Mwache aongee tutasema na ya kwao na story za Mzee wake maana anajifanya mdomo mrefu tukitoa ya kwao hata amini tunayajua sana ya Mzee wako

Kama yeye msemaji sana aseme na yake
 
Huyo bibi
Badala ya kuuza sera anaattack mtu..... ??????

Nilikiunfollow kabisa maana naona anabore....

Au waliyoandika kwenye gazeti la wembe labda kweli
 
Nilikuwa namfolo huyu dada na nilimuona ana misimamo na kabla ya kampeni alikuwa akiikosoa sana serikali ya ccm kwa ufisadi ila tangu kampeni zimeanza ni yeye na lowasa tuu, tena anaandika message ya kuomba kutumiwa habari mbaya za lowasa ili apost kwenye page yake na blog yake.

Nikamdharau mara moja maana niliona ni njaa imemshika, na siku zote njaa haina baunsa.

Ivi ufisadi Tanzania ni wa richmond tu? What about esrow ya juzi, epa, meremeta , kagoda, pembe za ndovu, kiwira n.k mbona hatukuoni ukifungua mdomo wako juu ya hizi issue na badala yake una dili na afyabya lowasa?

Njaa humpa mtu upofu jamani.
 
Anakera sana, u noe usiwafanyie watu usiyopenda kufanyiwa anamsema sana huyu Baba,hivi angekuwa ni baba ake ye angejisikia vizuri no matter da reason, mafisadi wangapi hawaoni kila kukicha Lowassa, hawaoni kina chenge,tibaijuka,na wengi tu mafisadi wamepita kura za maoni za ccm ila kakazana tu Lowassa

Kuna za carpet kuhusu baba ake Mange
 
Madam, nijuze tu, alichobadilika Mheshimiwa ni nini? Au kupanda daladala, kunywa chai Tandale na kujaza nyomi ndio alama za kubadilika kwake?

Hivi hujui au hujafuatilia umafia wa rasilimali uliofanywa na viongozi wa nchi hii akiwemo huyo unayemtetea? Unajua kisa cha kupeleka maji maeneo yenye uchimbaji wa dhahabu kwa wingi kuliko jimboni kwae kipindi alipokuwa waziri wa maji? Unajua madeal yake na yule Mzee asiyemwamini hata Mungu aliyemuumba? Unajua 'genge' lake vizuri? Unajua kwanini anaumwa ugonjwa usiofahamika vizuri chanzo chake? Unajua kwanini pamoja na kuonekana yuko taabani lakin bado anakazania kupambana? Is it for love?

Shida yangu ni kukuuliza, unamjua kweli unayemtetea? Au umevutiwa na kiitikio cha Mabadiliko?!

Watanzania ni watu wa ajabu mno. Hakika tunastahili tuzo! Yaani leo hii unamtetea mtu anayesababisha unalipa umeme kwa gharama za juu na usio na uhakika kwa maslahi yake na watu wake (whoever concerned, hata km na Mkulu yumo) kupitia madili waliyoshirikiana na hao maswahiba wake enzi hizo?!

Hivi unachokiona kwa ndugu huyu ni nia ya dhati kweli ya kuleta hayo mabadiliko yanayoimbwa au ni kuchukua power kulinda maslahi yake na kuwakomesha wakina fulani? You really need some church my sister!!!

Sisapoti anachokifanya Mange, lakini come ooon, have some brains basi, coz huyo unayemsema (Mange) ni kama kichaa aliyekuibia nguo halafu nawe unamkimbiza ukiwa uchi. Hawa jamaa sio wa kuwatetea. Wote ni wash****!

Bora ungemkemea tu Mange kudhihaki afya ya mheshimiwa, lakini usiseme huyo jamaa ame'change, HELL!

WAKE UP TZ!!!

Kama sie Watanzania watu Wa ajabu we Mchina inakuuma nini?
 
Back
Top Bottom