Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Ngoja kwanza...wewe unaamini kabisa kuwa hizo picha ni za chupi za Mange na si mtu mwingine?
Vipi kama zimeokotezwa tu kwenye mamitandao huko na kutumika kwa lengo la kumchamba Mange ilhali si za kwake?
Kinachokufanya uuamini huo 'ushahidi' ni nini?
Ulitaka ziwekwe lebo ya jina lake? Jiulize ni chupi za watu wangapi zimetolewa kwenye picha.