hivi ni maneno gani mwanamke anapenda kuyasikia zaidi kutoka kwa mpenzi wake...?
dah jaman, sie maskini ambao hatupo katika uhusiano inabid hatuna thamani???
Pesa hatuna, maneno mazuri hatuna...itabidi nife single!!!
Real love in actions. Truth
dah jaman, sie maskini ambao hatupo katika uhusiano inabid hatuna thamani???
Pesa hatuna, maneno mazuri hatuna...itabidi nife single!!!
Yaani mfundishane ubazazi wakati hata hayo maneno hamuyamaanishi!
But what kind of truth, ni kuhonga?