Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,856
- 401
Naanza na:
"Ninapokuwa mbali nawe ndipo hubaini pasipo mashaka kuwa hakika maisha yangu hayana maana pasipo wewe mpenzi wangu".
Wataalam wa mambo haya tuendeleze.
"Ninapokuwa mbali nawe ndipo hubaini pasipo mashaka kuwa hakika maisha yangu hayana maana pasipo wewe mpenzi wangu".
Wataalam wa mambo haya tuendeleze.