Ukinipa maana yake ambayo wewe watambua maybe na mimi hio statement yako itakuwa applicable kwangu... Maana yake nini Gaijin?
Kwa mujibu wa kamusi, "mjuvi" is a saucy, impertinent, impudent person.
Now I don't have issues with being called that, I just don't understand the relation with "kujua"
Makubwa! basi you are rite mana hapo hata mimi sioni mahusiano yake.... Dah. lol
Nisingecheka ningekuwa wewe kwa sababu ni aibu ya mwisho kwa mtu mzima kutumia Kiswahili ndivyo sivyo hasa akiwa anakitumia kuwaelezea/kutoa sifa za wengine
Kwa anaekereka, huweza kuwa chanzo cha minyukano
Gaijin uzuri umeanza ungekuwa mimi... you and I know we are two different people with different personalities hivo sio ajabu kile ambacho nimeweza kucheka wewe huwezi.
Labda nikuulize utajuaje hicho kicheko changu kilikuwa cha furaha, majonzi, embarrassment ama hata kejeli?
Haijalishi kama ni kicheko cha furaha, huzuni, masikitiko, kejeli, inda wala inadi, kwa sababu maandishi yanatoa fursa kwa msomaji kufikiria kile anachokidhania yeye. Si suala la kujua au la.
Mimi kwa kuheshimu hisia za wengine nisingeweka kicheko cha aina yoyote ile ili nisimpe mtu nafasi ya kudhania akitakacho na kupelekea mtafaruku.
But that's just me, Gaijin, mjuvi wa wajuvi
Hehehehehe! Ngastuka!!!Sijakuita baba Manka. Ila kama unajiskia kunipa pin number ya ile account yako ya Uswis karibu.
Ukinipa maana yake ambayo wewe watambua maybe na mimi hio statement yako itakuwa applicable kwangu... Maana yake nini Gaijin?
Moja ya maana ya 'mjuvi' ni mtu anayejifanya kujua kila jambo!
Nyingine ndiyo hiyo ya mtu mjeuri ama mjuba/ safihi.
"Mimi nimehesabiwa, wewe jee?"
Hutaki kuijua orodha ya wajuvi?
Umehesabiwa kwenye nini? Sensa?
Nataka, tena sana. Niorodheshee kama unayo.
Moja ya maana ya 'mjuvi' ni mtu anayejifanya kujua kila jambo!
Nyingine ndiyo hiyo ya mtu mjeuri ama mjuba/ safihi.
mbona yapo mengi sana kama haya "KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI"
Hujani-convince bado, jaribu tena baadaye.
Naanza na:
"Ninapokuwa mbali nawe ndipo hubaini pasipo mashaka kuwa hakika maisha yangu hayana maana pasipo wewe mpenzi wangu".
Wataalam wa mambo haya tuendeleze.