Mandela Funeral: Live updates

Mandela Funeral: Live updates

Shughuli zimeandaliwa vizuri. Isipokuwa ANC wameharibu kwa kuchukua sehemu kubwa ya uongozi wa maziko hayo. Kwa maoni yangu Mandela anavuka mipaka ya ANC.
 
Joyce Banda anaongea kwa huzuni xana mpk anataka kulia
 
Kikwete ataongea kama nani? manake naona kama amejipeleka tu....Waziri mkuu wa Ethiopia ni m/kiti wa AU ,Banda ni M/Kiti wa SADC....Sasa JK kama nani? au ndo kupenda kuzurura
 
Kaitwa kuiwakilisha Tanzania kwa niaba ya heshima ya nchi yetu kupambana na wakoloni kupelekea uhuru wa Afrika na Afrika Kusini...

Kikwete ataongea kama nani? manake naona kama amejipeleka tu....Waziri mkuu wa Ethiopia ni m/kiti wa AU ,Banda ni M/Kiti wa SADC....Sasa JK kama nani? au ndo kupenda kuzurura
 
Mama anaonesha ni jinsi gani anaumia kuondokewa na kipenzi chake....Tofauti na Winnie na Zuma ambao wanachekacheka tu huku wakishikana mikono...

Kumbe na wewe umeona eeh? Sitashangaa kama Zuma keshammega huyo mama maana ana ukicheche fulani hivi
 
Back
Top Bottom