Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,697 Reaction score 32,447 Feb 24, 2024 #199,681 Wild sniper said: Amad inamaana bado hajamfurahisha mwalimu ama hajapona vizuri? Click to expand... Watu wafupi namna hiyo hawawezi kucheza EPL tuwe realistic tu labda kwa vitimu vidogo vidogo visivyo na malengo yoyote zaidi ya kutoshuka daraja.
Wild sniper said: Amad inamaana bado hajamfurahisha mwalimu ama hajapona vizuri? Click to expand... Watu wafupi namna hiyo hawawezi kucheza EPL tuwe realistic tu labda kwa vitimu vidogo vidogo visivyo na malengo yoyote zaidi ya kutoshuka daraja.
ARV JF-Expert Member Joined Sep 6, 2011 Posts 5,527 Reaction score 7,923 Feb 24, 2024 #199,682 Hii timu bila HØJLUND ni bure kabisa.
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,415 Reaction score 27,291 Feb 24, 2024 #199,683 Al Watani said: Watu wafupi namna hiyo hawawezi kucheza EPL tuwe realistic tu labda kwa vitimu vidogo vidogo visivyo na malengo yoyote zaidi ya kutoshuka daraja. Click to expand... Benardo silva ni mrefu??
Al Watani said: Watu wafupi namna hiyo hawawezi kucheza EPL tuwe realistic tu labda kwa vitimu vidogo vidogo visivyo na malengo yoyote zaidi ya kutoshuka daraja. Click to expand... Benardo silva ni mrefu??
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Feb 24, 2024 #199,684 Kupelekwa moto FC
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Feb 24, 2024 #199,685 Amad needs to leave Manchester United.
fuentte JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 3,210 Reaction score 9,206 Feb 24, 2024 #199,686 Hivi kuna siku tutaangalia mechi ya united tume relax kabisa au ndio tuanze kuzoea hii hali?
Wild sniper JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 4,426 Reaction score 8,726 Feb 24, 2024 #199,687 Hawa wachezaji huwa wanafurahia kucheza hivi?? Haijulikani tunacheza nini.
Ngongo Platinum Member Joined Sep 20, 2008 Posts 21,179 Reaction score 37,475 Feb 24, 2024 #199,688 Yaani huwezi kuamini tunacheza nyumbani.
Senior Bachelor ll Senior Member Joined Sep 7, 2022 Posts 182 Reaction score 378 Feb 24, 2024 #199,689 Yamenyukwa
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Feb 24, 2024 #199,690 Wild sniper said: Hawa wachezaji huwa wanafurahia kucheza hivi?? Haijulikani tunacheza nini. Click to expand... Kocha wako ana winga wawili benchi lakini ameamua kumtumia bruno upande wa kulia
Wild sniper said: Hawa wachezaji huwa wanafurahia kucheza hivi?? Haijulikani tunacheza nini. Click to expand... Kocha wako ana winga wawili benchi lakini ameamua kumtumia bruno upande wa kulia
adriz JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 15,518 Reaction score 33,707 Feb 24, 2024 #199,691 1-1 dk 91 aded time 9 Tusubiri maajabu hapa.
adriz JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 15,518 Reaction score 33,707 Feb 24, 2024 #199,692 Maguire anamsindikiza mtu baada ya hata kumvuta pale .
M mwanauvinza JF-Expert Member Joined Jul 24, 2023 Posts 365 Reaction score 1,060 Feb 24, 2024 #199,693 Nyie NYUMBU mmekojolewa tena OT KENGE nyinyi
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,032 Reaction score 111,625 Feb 24, 2024 #199,694 Adama traore na mwili wake unaweza mdharau hana mbio 😅
adriz JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 15,518 Reaction score 33,707 Feb 24, 2024 #199,695 Onana anaangalia Tu kama la pili Man U kwisha habari yake.
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Feb 24, 2024 #199,696 sawa wachezaji wetu wengi ni wepesi lakini hili haliondoi ukweli wa kushindwa kwa kipara. Kuna watu waliamini wachezaji wetu wakirudi from majeruhi tutakuwa vizuri. Tujiulize liverpool wana majeruhi wangapi, je uchezaji wao umebadilika?
sawa wachezaji wetu wengi ni wepesi lakini hili haliondoi ukweli wa kushindwa kwa kipara. Kuna watu waliamini wachezaji wetu wakirudi from majeruhi tutakuwa vizuri. Tujiulize liverpool wana majeruhi wangapi, je uchezaji wao umebadilika?
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 43,865 Reaction score 103,892 Feb 24, 2024 #199,697 Refa maliza mpira bhana 😂
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Feb 24, 2024 #199,698 Siku ambayo kipara alizidiwa kimpira na madevu wa nottingham forest ndio nilizidi kukata tamaa naye.
L Lutifya JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 3,004 Reaction score 5,001 Feb 24, 2024 #199,699 Ngongo said: Yaani huwezi kuamini tunacheza nyumbani. Click to expand... Wewe Ulihama Arsenal pambana na hali yako kwenye Timu ya ushindi
Ngongo said: Yaani huwezi kuamini tunacheza nyumbani. Click to expand... Wewe Ulihama Arsenal pambana na hali yako kwenye Timu ya ushindi
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 43,865 Reaction score 103,892 Feb 24, 2024 #199,700 adriz said: 1-1 dk 91 aded time 9 Tusubiri maajabu hapa. Click to expand... Bila shaka maajabu umeyaona
adriz said: 1-1 dk 91 aded time 9 Tusubiri maajabu hapa. Click to expand... Bila shaka maajabu umeyaona