Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu jamaa sasa ifanyike namna auzwe pancha zimezidi
 
1. Pambania ubingwa mpaka dakika za mwisho..

2. Cheza mpira mzuri

3. ubingwa achukue Liver/man city

Hatuwezi kuwalaumu. Ndiyo maisha mliyochagua.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ama kweli kila mmoja na maisha yake. Mwishowe sisi tunamaliza kwa huzuni, nyie mnamaliza kwa furaha halafu sisi ndiyo tunawaona nyie vichaa, kumbe kichini chini nyie mnatucheka sisi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ila United ya EtH inashangaza na kufurahisha, kwenye BIG 6 ndiyo timu inayocheza mpira mbovu msimu wote huu ila points wanapita nazo.
Mkuu bado uko na hawa ndugu zetu au umeshahamia Brighton and Hove '5G' Albion mazima?
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ama kweli kila mmoja na maisha yake. Mwishowe sisi tunamaliza kwa huzuni, nyie mnamaliza kwa furaha halafu sisi ndiyo tunawaona nyie vichaa, kumbe kichini chini nyie mnatucheka sisi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Maisha ndo haya haya mkuu mpira ndo huu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…