ETH anatamba anasema kwasasa anampiga yeyote
Amecheza na villa lakin anadai alistahili kuifunga Arsenal na Liverpool
Huyu kocha manjesta fans wanadai simpendagi ,kaangalieni stats za hizo mechi
Hata hiyo ya villa kabahatika ,siokwamba aliukamata mchezo ,lakini cheki anavyotamba
Utofauti wa
Flano na ETH ni upi
View attachment 2901420