Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,875
- 16,442
Asenyau ndio timu serious?Kobi maino haina maisha marefu hapo unyumbuni, atakuja kwenye timu zilizo serious tu
Kama ni hivyo basi hayo ni matumizi mabaya ya neno serious.
Asenyau ndio timu serious?Kobi maino haina maisha marefu hapo unyumbuni, atakuja kwenye timu zilizo serious tu
Tutaanza na rashidi mpembaKobi maino haina maisha marefu hapo unyumbuni, atakuja kwenye timu zilizo serious tu
Hii tunashinda, Mungu pamoja nasiKikosi cha Bwenyenye Sir Jim barobaro boys watapigwa sana.
My prediction
Manchester United 3 vs West ham 1View attachment 2894060
Sasa Kila mechi Sasa hivi ni fainali, si watachoka na uchambuzi!?Hili jukwaa hakuna wachambuzi, mnazngua
Ivo ivo km asenoSasa Kila mechi Sasa hivi ni fainali, si watachoka na uchambuzi!?
😃😃Watu walishakatia tamaa hii timuHili jukwaa hakuna wachambuzi, mnazngua
Wakifunga, wanajitojeza! Dah[emoji2][emoji2]Watu walishakatia tamaa hii timu
Mtu huwez kosa cha kusema.😃😃Watu walishakatia tamaa hii timu
😃😃Furaha ya msimuWakifunga, wanajitojeza! Dah
Kwa mimi leo nimebanan nafuatilia kupitia live scoreMtu huwez kosa cha kusema.
Tuamuke bana