Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tafuteni wachezaji wa kueleweka wachezaji wafuatao hawana sifa za kuvaa badge ya klabu yenu
Onana uzeni
Anthony uzeni
Rashford uzeni
Bruno. Huyu ndo kabisaa hata kuvaa kitambaa hafai uzeni haraka
Garnacho huyo toeni kwa mkopo
Mattominay uzeni
Martial uzeni
Hodjlund uzeni
Casemiro uzeni
 
Magwayaaaa anafaa ausio mwanetu????
 
Solution ni kuuza wachezaji wote, waombe kujitoa kwenye ligi, warudi baada ya miaka 10.
 
Eriksen anaona timu inashambuliwa gibbs white yuko mwenyewe anakimbia kama yeye ndo anashambulia

ah kudadeki wazee hii timu abaki sijui amad dialo na kobe mauno

Yani timu ovyo ovyo hamna kitu
No chances
Winga wachoyo wengine ni waoga wa mpira
Yani kwa mara ya kwanza naona hamna timu hapa officially naacha kufatilia hawa kenge
 
Yule tapeli Ratcliff na genge la matapeli wenzake akina Glazer hiyo old Trafford wafugie nguruwe tu ,kuliko kufuga mazuzu hao
 
Kumtegemea mchezaji wa aina hii for two years ni upuuzi wa kiwango cha kutisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…