Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Humu ndani haya makalio yanacheza kama yapo umiseta

Bruno anamuona amad pembeni anajipigia kama kuku

Huyu mctominay anapiga pembeni na nyuma

Garnacho kila mpira anahisi ni anatakiwa afunge

Mpira wapumbavu wanauogopa kama ni wamoto hivi


Wazee hii timu atoke huyu jamaa kocha hamna kitu naona upumbavu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…