Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nikuhakikishie Upara anamaliza msimu bila kufukuzwa na mtu yoyote LABDA ajiuzulu AU Sir Jim amkatae

Timu za EPL ngumu sana kufanya maamuzi ya kufukuza kocha Sio NBC PL ile hata vila wakishinda 7-0 ETH hafukuzwi na mtuu
Daah inaumiza mno
 
Emery Unai
Eddie Howe
Antonio Conte
Jose Mourinho
Ernesto Valverde
Massimiliano Allegri
Sean Dyche

Elezea tabia zao kwa kuangalia zaidi muelekeo wa soka kwa wakati huu na ujao.

Kuna tabia wanafanana
 
Solution ni nini kwa Manchester United?kumfukuza coach or kusajili tena?
Wavunje timu yte...wajitoe ligi kuu....wasajili upya watu🤠🤠🤠....Sasa kama raundi ya 1 ndo wamebutuliwa hivi raundi ya 2 kipindi watu wanaitaka nafasi zao...wengine ubingwa...wengine UEFA...wengine wasishuke daraja si ndo watafedheheshwa kabisa Hawa....wajitoe...kuanza upya sio ujinga mjomba...alisema Mpoto
 
Nakumbuka mechi ya Fulham au Burnley goli letu mfano wa hili tulilofungwa (goli la kwanza) lilikataliwa, nafikiri mfungaji alikuwa ni Maguire
 
Huu ndiyo wakati sahihi wa EtH kuonyeshwa mlango wa kutokea.

1. Kaharibu hali ya hewa pale Carrington, kila mchezaji anagombana naye.

Naamini INEOS wana mtu wao tayari, huyu apewe tu barua watafute caretaker amalizie msimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…