Manchester United (Red Devils) | Special Thread

EXCLUSIVE


Kocha mkuu wa klabu ya Manchester united Eric Ten Hag ameuambia uongozi wa juu katika klabu hiyo kuwa mchezaji Sofyan Amrabat haendani na falsafa Zake, Amrabat yupo kwa mkopo klabuni hapo akitokea klabu ya ACF Fiorentina.



Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi niliopenda aina ya uchezaji wa pogba huyu mkaka kama sio bangi angekuwa na heshma, kwa sasa haheshimiki kabsa.

Ni kama amepotea ila kama kuna mwl angeweza kumu hundle huyu kiungo anajua mpira.....

pogba anajua mpira, tena kwenye assist this guy is incredible, kama houjlund angecheza na pogba angepiga bao nyingi tu. Natarajia mainoo kufanya kazi aliyoiacha pogba
 
 
EXCLUSIVE


Kocha mkuu wa klabu ya Manchester united Eric Ten Hag ameuambia uongozi wa juu katika klabu hiyo kuwa mchezaji Sofyan Amrabat haendani na falsafa Zake, Amrabat yupo kwa mkopo klabuni hapo akitokea klabu ya ACF Fiorentina.


Ni Nani aliyependekeza amrabat aje hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…