Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,005
- 7,383
Sijajua board wanaangalia mpira gani.... so far tumekuwa ovyo kweli.... Timu yetu wachezaji hawasurvive sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji....ila badala tukomae kujenga structure nzuri tunazidi kudidimiaSheffield United inayotumia uwanja wa OLD TRAFFORD
Nipo na afya njema Mwenyezi Mungu anasaidia....ni majukumu tu yanabana....pia toka bwana Jassim afeli na bid yake nikaona nioujguze speed na hii timu.Muda mrefu hujaonekana, natumai waendelea vyema kiafya na kifikra.
Yes nipo,
bado sijapata starehe ya kuniweka mbali na manchester united.
Japokuwa naumia nafsini kwa jinsi tunavyocheza mechi zetu dhidi ya timu pinzani ila sina budi kuifuatilia hii timu.
Ujinga huu ninaoushuhudia nakumbuka walikuwa wanafanyiwa ARSENAL miaka minne iliopita, now liverpool na man city wote wanakhofu wanapocheza na THE GUNNERS.
Football heritage
Yes Arsenal wameimprove sana sababu ya watu sahihi pale juu hasa Edu (alishinda best football director mwaka huu nafikiri October kama sijakosea)
Naimani tukipata director sahihi na technical director sahihi tunaweza fika sehemu.