whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,190
- 2,541
ππ we trust in ETH......apewe mkataba wa miaka 5 zaidi.tunataka kuona vitu kwa fieldHakika yaan nilikuwa napresha balaaa
Any way tumefurahi
Ila kocha hatumtaki
watu msichokijua kwamba tuna majeruhi wa kutosha Scott anacheza kwa sababu ya majeruhi ya casemiro na ericksen na mount.Natamani scott mctominay apate majeruhi
wiki ijayo mtakutana na wagonga nyundo,kazeni hapohapo msije mkatia aibu tena kama kawaida yenuVarane
Onana
Baada ya mechi ya brentford kufunga magoli 2, licha ya hayo majeruhi unayoyaongelea huyo bwana hajawahi kuanzia benchi.watu msichokijua kwamba tuna majeruhi wa kutosha Scott anacheza kwa sababu ya majeruhi ya casemiro na ericksen na mount.
sasa kwa hapo unataka acheze nani?
Et kocha hatumtakiHakika yaan nilikuwa napresha balaaa
Any way tumefurahi
Ila kocha hatumtaki
How the mighty has fallenKwa hali yetu, draw kwa Liverfool siyo mbaya. GGMU.
Wamefanya vyema kabisa.Minyumbu leo nimewakubali
Sijajua board wanaangalia mpira gani.... so far tumekuwa ovyo kweli.... Timu yetu wachezaji hawasurvive sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji....ila badala tukomae kujenga structure nzuri tunazidi kudidimiaSheffield United inayotumia uwanja wa OLD TRAFFORD
Nipo na afya njema Mwenyezi Mungu anasaidia....ni majukumu tu yanabana....pia toka bwana Jassim afeli na bid yake nikaona nioujguze speed na hii timu.Muda mrefu hujaonekana, natumai waendelea vyema kiafya na kifikra.
Yes nipo,
bado sijapata starehe ya kuniweka mbali na manchester united.
Japokuwa naumia nafsini kwa jinsi tunavyocheza mechi zetu dhidi ya timu pinzani ila sina budi kuifuatilia hii timu.
Ujinga huu ninaoushuhudia nakumbuka walikuwa wanafanyiwa ARSENAL miaka minne iliopita, now liverpool na man city wote wanakhofu wanapocheza na THE GUNNERS.
Football heritage
Natamani scott mctominay apate majeruhi