Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mo Salah ana magoli yake matatu hapokwa hiyo unaona hii ndiyo chance ya Nunez naye kujipatia vigoli? Mwambie yeye kazi yake ni kulengesha mpira golini tu. Mengine Onana atayaendeleza. Ila basi afunge Nunez peke yake goli moja. Hao wengine wawafunge kina City na Newcastle goli moja moja pia
Hamshindi hii game. Na mnapigwa sio chini ya goal 3 hapo hapo home kwenu. Tunza hii postkikosi Cha bwenyenye glazer ichi hapa barobaro boys tunawaleta Tena leo watachapwa sana wale.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Manchester United 3 vs Bayern Munich 1
GGMU
ni raha tupu wakubwaView attachment 2840845
😂😂😂😂😂😂amrabat huyu aliyekimbizwa na Sospeter Bajana hapo Kwa mkapa?
kikosi Cha bwenyenye glazer ichi hapa barobaro boys tunawaleta Tena leo watachapwa sana wale.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Manchester United 3 vs Bayern Munich 1
GGMU
ni raha tupu wakubwaView attachment 2840845
Nyumbu kama nyumbukikosi Cha bwenyenye glazer ichi hapa barobaro boys tunawaleta Tena leo watachapwa sana wale.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Manchester United 3 vs Bayern Munich 1
GGMU
ni raha tupu wakubwaView attachment 2840845
J2 ndio kilio na maombolezo pale uwanja wetu wa machinjio anfieldwatakufa kwa presha msimu huu,mashabiki wa unyumbuni
ukiwakuta mtaani wanatia huruma kinoma,hawana raha,
wakiingia mtandaoni ndo balaa
Ali pipi yeye huwa anabashiri nyumbu kushinda 3-1 karibia kila game. Leo wana bahati Bayern hana cha kupoteza ila wale wahuni wa kijerumani nao huwa hawaeleweki. Wazee wa kuua mende kwa nyundo wale. Tuombe Galatasaray na Copenhagen mshindi apatikane ili manyumbu wakishinda leo basi waende Europa. Dream result ni Bayern ashinde ambapo nyumbu atafungashiwa virago arudi matofalini wakasubirie kipigo cha livakukueti bwanyenye glazzer Manchester tatizo letu midomo sana
Siyo antisemitism. Sema exorcists tumekuja kufukuza shetani ndani ya group A.Hili jukwaa naona limevamiwa na anti-Semitism.
Hawa wajerumani sijui wana tamaa ya hela. Kuna €2.8m kwa kila group game ukishinda. Plus wanataka kuload win rate yao ili wazidi kuonekana kuwa stats za kushinda ziko juu kwa ajili ya data za kuwapa wafadhili wapya na kuwapa nguvu katika mazungumzo ya dili mpya.Kuna team zinapenda sifa ,Bayern points 13 anayefuata point 5 na anacheza na mwenye points 4 Bado kamwekea utd full mziki ,kuanzia Kane hadi Neuer ,Sasa tunawaomba utd mkishindwa kuwafunga wavunjeni TU maana ni Roho mbaya kbsa.