Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Oya wakali wa Soka safi ninaowakubali sana wapigeni wale Chelsea mumfukuzishe Kocha wao kwanza wanajisifu wanasema watakupigeni nyingi
 
Chelsea tumeanzisha kampeni yetu ya KIMBIZA MWIZI ambayo inakwenda kuanza leo 6 Desemba kwenye mechi dhidi ya Red devil wa mchongo kila anayekuja mbele yetu sisi tunalala nae hata kama ana ukimwi.

Matokeo ni mawili tuu Chelsea kushinda au mpinzani kushindwa.
 
Leo ni siku ya burudani kubwa vikosi vya mabwanyenye wawili vinakutana hapa, kati ya bwanyenye glazer na bwanyenye tody ni raha tupu wakubwa


Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha


my prediction

Manchester United 3 vs Chelsea 1


GGMU


vikosi vya mabwanyenye hivi hapa.
 
Ni wakati sasa wa BRUNO kupumzishwa kwenye 1st eleven kama alivyopumzishwa MAGUIRE mpaka akapandisha kiwango. Ile mechi ya UEFA iliniuma sana alivyofanya faulo mbili za kijinga karibu na goli na zote zikazaa magoli.
 
Huo mkeka umechanika muda mrefu. Pole sana mkuu.
the blues
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…