Juzi aliposhinda mechi 3 sijui 4 dhid ya kina Luton , Sheffield, Burney siulikuwa unamsifia na unasema bado point 6 muongoze ligiHuyu EtH naye sijui anatarajia nini kila siku ujinga ule ule halafu anatarajia matokeo tofauti.
Manjesta haijashinda mechi yoyote ya EPL ugenini dhidi ya timu iliyoanza siku ikiwa katika nafasi ya 8 katika msimamo tangu Oktoba 2021 ilipoifunga Tottenham chini ya Ole Gunnar Solskjaer.
Tangu wakati huo, United imetoa sare tatu na kupoteza mechi 10 kati ya 13 za aina hiyo.
Wiki mbili zilizopita ulikuwa unatamba au umesahauYes Sisi tunaijua hali yetu mbaya uwe unatupa na wewe form yenu na achievements mlizo pata
Wiki mbili zilizopita ulikuwa unatamba au umesahau
Sikuonekana wapi, fatilia humu ,nilisema mnashinda kwa kubahatisha tuNa we haukuonekana umesahau
ila jana ndo ukajitokeza
Nyumbu akili zao Kama kukuJuzi aliposhinda mechi 3 sijui 4 dhid ya kina Luton , Sheffield, Burney siulikuwa unamsifia na unasema bado point 6 muongoze ligi
Nilipokuwa unyumbuni nilishindwa kabisa kuona jinsi gani EtH ni tapeli. Kocha hana mbinu, timu haieleweki inatafuta nini uwanjani.Huyu kocha Ni Tapeli
7Hag kuhusu game ya Newcastle
“Hii team ni stahimilivu, tuna mipango na tunaendelea kusonga mbele”.
Nitaongea na team yangu lakini tulikuwa mchezoni, mwishowe tulitengeneza nafasi nzuri”.
Tulifunga goli lakini lilikuwa ni offside, kwa hiyo ingeliweza kuwa ni matokeo ya sare”. aliiambia TNT.
Arsenal kiboko ya mabishooRound ya kwanza Manchester city kachukua point kwa Team dhaifu tu kama umefungwa na city Round hii ya kwanza Team yako ni dhaifu.View attachment 2832886
Inabidi uwe na akili kubwa kujua Rasmus anafanya nini uwanjani. Kwangu hata asipofunga sioni shida. Kikubwa anachofanya ni kuzuia timu isianzie mashambulizi nyuma (hii ni hatari) Muda aliokuwepo Masho kule nyuma walijiachia wanavyotaka kuanzisha na kupandisha mipira mbele. Rasmus anambana kipa hawezi kuanzisha mpira hovyo hovyo hali inayopelekea apige tu mbele ambapo mpira unaweza kudondokea kwa adui. Nakumbuka kocha wangu alikuwa anatuambia "Tushambulie zaidi ili kujilinda nyuma" ndivyo anavyofanya Rasmus.
Kwamaana nyingine ana mikabo mizuri🤠🤠...mmemtoa mwnye mikimbio mizuri Mr Werghost mmemleta mwny mikabo mizuriInabidi uwe na akili kubwa kujua Rasmus anafanya nini uwanjani. Kwangu hata asipofunga sioni shida. Kikubwa anachofanya ni kuzuia timu isianzie mashambulizi nyuma (hii ni hatari) Muda aliokuwepo Masho kule nyuma walijiachia wanavyotaka kuanzisha na kupandisha mipira mbele. Rasmus anambana kipa hawezi kuanzisha mpira hovyo hovyo hali inayopelekea apige tu mbele ambapo mpira unaweza kudondokea kwa adui. Nakumbuka kocha wangu alikuwa anatuambia "Tushambulie zaidi ili kujilinda nyuma" ndivyo anavyofanya Rasmus.
Hujui Mpira wewe NYUMBUInabidi uwe na akili kubwa kujua Rasmus anafanya nini uwanjani. Kwangu hata asipofunga sioni shida. Kikubwa anachofanya ni kuzuia timu isianzie mashambulizi nyuma (hii ni hatari) Muda aliokuwepo Masho kule nyuma walijiachia wanavyotaka kuanzisha na kupandisha mipira mbele. Rasmus anambana kipa hawezi kuanzisha mpira hovyo hovyo hali inayopelekea apige tu mbele ambapo mpira unaweza kudondokea kwa adui. Nakumbuka kocha wangu alikuwa anatuambia "Tushambulie zaidi ili kujilinda nyuma" ndivyo anavyofanya Rasmus.