Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakati arsenal tunachukua midfielder, nyie mkaona pesa yenu mtakapanye kwenye kununua hojlund, onana, mount

Nasijui mliingia wapi, mkapewa nyongeza ya amrabat kwa mkopo
 
Erik ten Hag was furious at Anthony Martial because of his attitude in the game.

The manager berated Martial, and the Frenchman arrogantly dismissed Ten Hag with hand gestures.
Kocha mjinga huyu, siku zote leo ndio anajua Masho ni takataka?
 
Mount alishamaliza career yake Chelsea

Manjesta kaja kula mafao tu

Ana mwaka mzima hajawahi kufunga wala ku assist goal
Lakini Mount na dogo lake Haland linaitwa Hoju wanalingana takwimu Epl
 
Manyumbu hayapo fair kabisa. Nick Pope kaumia, mpira upo mbali kabisa na goli lakini bado yaliendelea kucheza tu mpaka refa kapuliza kipenga.
 
"We had a better season than Arsenal" Manchester United are now 7th in the league, 9 points behind top of the table Arsenal and bottom of their champions league group.
 
"We had a better season than Arsenal" Manchester United are now 7th in the league, 9 points behind top of the table Arsenal and bottom of their champions league group.

Nyie nao mtafurahia kumaliza juu ya Manchester tu bas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…