Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Eti Kobe mauno na Garimacho


Unafanya napaliwa had chakula
 
Ili mpate timu ya uhakika fukuzeni wafuatao
Bruno
Casemiro
Garnacho
Shaw
Varane
Onana
Wanbissaka
Dalot
Antony
Antony
Hao wote hawana hadhi ya kucheza unyumbuni. Mkija nao Anfield tusilaumiane
Umesahau na Erik 7 hag
 
Hawa jamaa hawataki kukubali hawana kocha ,kashinda mechi 3 sijui 4 Lakini Sasa Ni papatupapatu,

Kuna ratiba hii hapa
inafata ,watachezea vipigo Hadi wakubali
 
jan Usiku nilikuwa natoka zangu Job ile napita karbu na Bar moja hapa mtaani nasikia watu wanatukana matusi ya Nguoni na Kelele nyingi sana, nikajua labda kuna ugomvi wa Walevi wamelewa ile nimesogea karibu nakuta ni mashabiki wa Man utd wanamtukana Kocha wao Na Timu nzima kiujumla,

Kiukweli Nilihisi machozi ya furaha yanataka kutoka maan mimi Man utd wakipitia misukosuko kwangu mimi ni Sherehe tosha, nimeyapokea matokeo ya Man utd kwa Furaha kuu sana,

Man utd ikifanya vizuri mim huwa Nakwazika sana ila kwa yanayoendelea sasa napata amani na Tulizo la Moyo, Jasusi Ten haag Mchango wako sisi FC Fitna tunauona na Lengo ni lile lile kuhakikisha Man utd inakuwa level sawa na Sheffield Utd.
 
Your voice carried me away b... I couldn't notice that!

Heeeey usinitoe kwenye reli bwana, unaonaje kuishia makundi? Lols
B... this is a normal part of football life. Let us form a team to reclaim our place... Good thing you all know we don't deserve to end up on the group stage.

Ova
 
B... this is a normal part of football life. Let us form a team to reclaim our place... Good thing you all know we don't deserve to end up on the group stage.

Ova
Acha maneno yako mengi b… hakuna anayestahili kuishia makundi ila wasio bora pekee.

Wenzenu tunawaza knock out stage saa hizi! Kuimba kupokezana…
Ila pole b…
 
Dah! Umesema kweli Mkuu. Ila wenyewe hawaelewi, wanasahau kama form ni kitu cha muda fulani tu, siyo cha kudumu.

Ova
Nyie tokea 2013 ni lini mmewahi kurudi ktk form? Tena hapo ulikuwa ndio uzoefu wa Fergie ulikoishia mkachukua kombe kimasihara.

Sasa hivi tunaongelea miaka 10, sio kitu cha kudumu hicho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…