Daaahhh we acha tu.
Yaani hiyo mechi ya pale Anfield kila nikiifikiria natamani nistaafu kwanza kwa muda kushabikia mpira mpaka mwakani.
Hii timu yetu ikianza kufungwa kurudisha goli hua ni shida na ikianza kufunga kushikilia bomba pia ni shida.
Hili timu litakuja kutuua kmmmmmae.
Yaani kuanzia mmiliki, management, kocha na wachezaji wote wanatakiwa wapelekwe Gaza wakafundishwe uzalendo wa kweli na wale vijana machachari wa Hamas.