Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukicheza na manyumbu wewe kazi yako ni kuhakisha unapeleka shot on target tu. Mengine muachie Onana
 
Acha matusi
 
Kama unathamini muda wako leo usijisumbue kuangalia mechi. Hakuna kitu cha maana nyumbu wanachoenda kufanya Istanbul. Na haiishii hapo tu nafasi ya kupita kwenda hatua inayofuata ni 1%.
Bayern akimpiga Copenhagen leo, nafasi ya 2. halafu Nyumbu akimpiga Bayern huku Copenhagen na Galatasaray wakitoka sare game ya mwisho, Nyumbu anashika nafasi ya pili. Yaani hawa nyumbu kuna bahati inawabeba na haitaki kuwaachia.
 
Bayern akimpiga Copenhagen leo, nafasi ya 2. halafu Nyumbu akimpiga Bayern huku Copenhagen na Galatasaray wakitoka sare game ya mwisho, Nyumbu anashika nafasi ya pili. Yaani hawa nyumbu kuna bahati inawabeba na haitaki kuwaachia.
Hao Copenhagen hawatakubali kutoka kizembe lazima watatafuta wa kufa naye (Galatasaray). Cha muhimu wachezaji wa United wasikate tamaa kwenye mechi ya Bayern, lolote linaweza kutokea kule Copenhagen.
 
Bayern akimpiga Copenhagen leo, nafasi ya 2. halafu Nyumbu akimpiga Bayern huku Copenhagen na Galatasaray wakitoka sare game ya mwisho, Nyumbu anashika nafasi ya pili. Yaani hawa nyumbu kuna bahati inawabeba na haitaki kuwaachia.
Bayern ile ya kina muller ambayo hata game isiyo na maana wanataka washinde, ndo man u apite?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…