Bora wewe msema kweli katika fixture hiyo mkijitahidi sana mnashinda mechi4 mnapigwa2 period
Asee coming games za moto sanaa
View attachment 2826116
Hawatoamini yan😅😅Tupo km hatupo lkn wakizubaaa tunawafurahishaa
Mwendo ni huu huu wakikaa vibaya tunaiba hata kombe..PIRA KHARAM,
PIRA BATILI,
PIRA RUSHWA,
PIRA PURPOSE.
Huyu ndiye mchezaji pekee pale kikosini ktk eneo la kiungo ambaye anaweza kupokea mpira kutoka kwa Onana bila ku-flinch. Kusema kweli alipoumia nilipoteza imani na msimu huu walau kufanya vizuri kidogo, ukiangalia vizuri strategy ya Ten Hag tulipokuwa pre-season haikuwa ile ile aliyokuja kuitumia baada msimu kuanza na baada ya huyu dogo kuumia. Tulirudi na strategy ile ile ya msimu uliopita huku ubora wa Casemiro ukizidi kupungua jumlisha na form inconsistency ya washambuliaji.Alicheza game za mwanzo..akapata injury..
Hakuna wa kumweka huyu mtoto benchi..
Ttaizo la man utd finishing tu ila nafasi tunatengeneza za kutosha. Shida namba moja kwenye hilo ni Rashford.Gari limeshapata moto Sasa engine imewaka
Kweli hawa wajinga wana mbinu nyingi.Huyu Kobbie ilitakiwa tumpe ulinzi kabla Arsenal na City hawajamsakizia demu wa kumtia hatiani kama walivyofanya kwa Mason Greenwood na super controller Anthony.
Huyu ni Xavi mtupu kasoro rangi ya ngozi tu.
Ttaizo la man utd finishing tu ila nafasi tunatengeneza za kutosha. Shida namba moja kwenye hilo ni Rashford.
cocha inabidi amueleze Rashford, he is not expected to score, he is expected to give assists.Ttaizo la man utd finishing tu ila nafasi tunatengeneza za kutosha. Shida namba moja kwenye hilo ni Rashford.
kishakuwa kirusi kile.Ila huyu rashford daaaah bora kule pembeni acheze ata golikipa bey
Casemiro ubora umepungua sana..tuwekeze kwa huyu mtoto kwa sasa hivi.Huyu ndiye mchezaji pekee pale kikosini ktk eneo la kiungo ambaye anaweza kupokea mpira kutoka kwa Onana bila ku-flinch. Kusema kweli alipoumia nilipoteza imani na msimu huu walau kufanya vizuri kidogo, ukiangalia vizuri strategy ya Ten Hag tulipokuwa pre-season haikuwa ile ile aliyokuja kuitumia baada msimu kuanza na baada ya huyu dogo kuumia. Tulirudi na strategy ile ile ya msimu uliopita huku ubora wa Casemiro ukizidi kupungua jumlisha na form inconsistency ya washambuliaji.
Mimi mwenyewe naona alivorudi kikosini kidogo tumeimarika..na ushindi wa hapa na pale umekuwa ukipatikana..na yeye personally sijaona akifanya blunder kubwa.Harry Maguire amebadilika sana. Kawa kitasa kweli kweli.