Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Alicheza game za mwanzo..akapata injury..

Hakuna wa kumweka huyu mtoto benchi..
Huyu ndiye mchezaji pekee pale kikosini ktk eneo la kiungo ambaye anaweza kupokea mpira kutoka kwa Onana bila ku-flinch. Kusema kweli alipoumia nilipoteza imani na msimu huu walau kufanya vizuri kidogo, ukiangalia vizuri strategy ya Ten Hag tulipokuwa pre-season haikuwa ile ile aliyokuja kuitumia baada msimu kuanza na baada ya huyu dogo kuumia. Tulirudi na strategy ile ile ya msimu uliopita huku ubora wa Casemiro ukizidi kupungua jumlisha na form inconsistency ya washambuliaji.
 
Huyu Kobbie ilitakiwa tumpe ulinzi kabla Arsenal na City hawajamsakizia demu wa kumtia hatiani kama walivyofanya kwa Mason Greenwood na super controller Anthony.
Huyu ni Xavi mtupu kasoro rangi ya ngozi tu.
 
Casemiro ubora umepungua sana..tuwekeze kwa huyu mtoto kwa sasa hivi.

Kuna maeneo anapokea mali hadi naogopa..ila dogo taratibu bila papara mali anabaki nayo na anatoa pasi safi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…