Arsenal banaYaani hawa manyumbu lile swali la tembo kapandaje mti ndilo linawahusu kabisa
Luton sio wepesi kama unavyodhani,muulize liverkuku aliambulia nini dhidi yao.Man u hana consistency,kama kwa Luton mlihangaika vile ,
HIKI KITU HAMKUKITARAJIA NA HAKIWAPENDEZI KABISA UNITED KUWA NDANI YA TOP 6 BAADA YA GAME 12 BAADA YA KUANZA MSIMU KWA KUSUASUA!Yaani hawa manyumbu lile swali la tembo kapandaje mti ndilo linawahusu kabisa
Unarukaruka Mara msimu JanaLuton sio wepesi kama unavyodhani,muulize liverkuku aliambulia nini dhidi yao.
Suala la consistency sio man u peke yao,arsenal mechi 8 za mwisho msimu jana alipoteana hadi akashika namba 2 tu.
Sijawahi kuwa na hofu na manjesta hii ya tapeli ETH,hata tungekuwa sawa pointHIKI KITU HAMKUKITARAJIA NA HAKIWAPENDEZI KABISA UNITED KUWA NDANI YA TOP 6 BAADA YA GAME 12 BAADA YA KUANZA MSIMU KWA KUSUASUA!
Niwakumbushe tu kwamba arsenal iliyo form inamzidi man utd mbovu point 6 tu!
Manjesta hata mkiambiwa muwe sawa na anayeongoza Ligi, top hamuwez kuingiaPamoja na yoote,Man utd ndio tim iliyobeba point nyingi zaidi kwa michezo mitano iliyopita (point 12) kuliko tim yoyote epl.
Tofauti kati ya anayeongoza ligi na man utd ni point 7 pekee,ndio kwaanza tupo game ya 12 kati 38.
Wait,trust the process
Badilisheni kocha ndugu zetu...Kuna mechi tunaziona kabisa mkidundwa..msije kusema hatujawaambiaPamoja na yoote,Man utd ndio tim iliyobeba point nyingi zaidi kwa michezo mitano iliyopita (point 12) kuliko tim yoyote epl.
Tofauti kati ya anayeongoza ligi na man utd ni point 7 pekee,ndio kwaanza tupo game ya 12 kati 38.
Wait,trust the process
Mkikaza Sana ,mnamaliza nafasi ya 6 yaani hapo mmeparangamaKula chuma ichoView attachment 2812834
Nimeamua kumsapoti mwalimu wa timu yangu hadi pale atakapofukuzwa.Unarukaruka Mara msimu Jana
Usije onekana humu unatukana Grazzer family
We are still the contenders so far.Kula chuma ichoView attachment 2812834
Mimi natunza kumbukumbu,nitarudi hapa kukukumbusha labda ukimbieWe are still the contenders so far.
Arsenyau hawataki kusikia hii kauli kabisa.
Nimeamua kumsapoti mwalimu wa timu yangu hadi pale atakapofukuzwa.
In Ten Hag WE trust the process
Ni wivu tuWe are still the contenders so far.
Arsenyau hawataki kusikia hii kauli kabisa.
Ni mpumbavu pekee anaweza kuumia kisa manjesta hii ya 7hag ambayo inasubiri miujiza kuokota pointsNaona umeanza kuwa mtabiri tambi tambi. Asenane mnaumia sana kuwaona mashetani wekundu nafasi ya 6
Kweli aisee, ila sisi pia hatuko kwenye form. Ila nyie sielewi mnafanya nini huku top 10, sembuse top 6. Mpo huku kwa namna isiyoeleweka.HIKI KITU HAMKUKITARAJIA NA HAKIWAPENDEZI KABISA UNITED KUWA NDANI YA TOP 6 BAADA YA GAME 12 BAADA YA KUANZA MSIMU KWA KUSUASUA!
Niwakumbushe tu kwamba arsenal iliyo form inamzidi man utd mbovu point 6 tu!
Nitajie timu mbovu EPL, ili tujitathimini make hata Luton sio mbovu, Fulham sio, Wolves sio EPL hakuna mbovu.Manjesta hata mkiambiwa muwe sawa na anayeongoza Ligi, top hamuwez kuingia
Mna kocha wa kawaida Sana
Mech Kama ya Luton ya kushinda hata 5 ,mnabahatisha 1-0
Ndio maana mkikutana na timu inajiweza kidogo tu mnahangaika na kula vipigo
Niliwaonya humu Copenhagen, Galatasaray watawapiga
Ndio maana mnashika mkia UCL
Akkfukuzwa ndio tunamkataa.Nimeamua kumsapoti mwalimu wa timu yangu hadi pale atakapofukuzwa.
In Ten Hag WE trust the process