Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#mufc have become frustrated by attempts by agents to push coaches into the running for Ten Hag's position.

The representative of a well-known manager, who is out of work, had a scheduled meeting cancelled because of concerns the conversation would focus on the potential uncertainty surrounding the manager's job.

[
@RobDawsonESPN
]
 
Pamoja na yoote,Man utd ndio tim iliyobeba point nyingi zaidi kwa michezo mitano iliyopita (point 12) kuliko tim yoyote epl.

Tofauti kati ya anayeongoza ligi na man utd ni point 7 pekee,ndio kwaanza tupo game ya 12 kati 38.

Wait,trust the process
 
Luton sio wepesi kama unavyodhani,muulize liverkuku aliambulia nini dhidi yao.
Suala la consistency sio man u peke yao,arsenal mechi 8 za mwisho msimu jana alipoteana hadi akashika namba 2 tu.
Unarukaruka Mara msimu Jana


Usije onekana humu unatukana Grazzer family
 
HIKI KITU HAMKUKITARAJIA NA HAKIWAPENDEZI KABISA UNITED KUWA NDANI YA TOP 6 BAADA YA GAME 12 BAADA YA KUANZA MSIMU KWA KUSUASUA!
Niwakumbushe tu kwamba arsenal iliyo form inamzidi man utd mbovu point 6 tu!
Sijawahi kuwa na hofu na manjesta hii ya tapeli ETH,hata tungekuwa sawa point
 
Pamoja na yoote,Man utd ndio tim iliyobeba point nyingi zaidi kwa michezo mitano iliyopita (point 12) kuliko tim yoyote epl.

Tofauti kati ya anayeongoza ligi na man utd ni point 7 pekee,ndio kwaanza tupo game ya 12 kati 38.

Wait,trust the process
Manjesta hata mkiambiwa muwe sawa na anayeongoza Ligi, top hamuwez kuingia

Mna kocha wa kawaida Sana

Mech Kama ya Luton ya kushinda hata 5 ,mnabahatisha 1-0


Ndio maana mkikutana na timu inajiweza kidogo tu mnahangaika na kula vipigo

Niliwaonya humu Copenhagen, Galatasaray watawapiga

Ndio maana mnashika mkia UCL
 
Pamoja na yoote,Man utd ndio tim iliyobeba point nyingi zaidi kwa michezo mitano iliyopita (point 12) kuliko tim yoyote epl.

Tofauti kati ya anayeongoza ligi na man utd ni point 7 pekee,ndio kwaanza tupo game ya 12 kati 38.

Wait,trust the process
Badilisheni kocha ndugu zetu...Kuna mechi tunaziona kabisa mkidundwa..msije kusema hatujawaambia
 
HIKI KITU HAMKUKITARAJIA NA HAKIWAPENDEZI KABISA UNITED KUWA NDANI YA TOP 6 BAADA YA GAME 12 BAADA YA KUANZA MSIMU KWA KUSUASUA!
Niwakumbushe tu kwamba arsenal iliyo form inamzidi man utd mbovu point 6 tu!
Kweli aisee, ila sisi pia hatuko kwenye form. Ila nyie sielewi mnafanya nini huku top 10, sembuse top 6. Mpo huku kwa namna isiyoeleweka.
 
Nitajie timu mbovu EPL, ili tujitathimini make hata Luton sio mbovu, Fulham sio, Wolves sio EPL hakuna mbovu.
Arteta miaka kibao alikuw haijui top 4, sie wetu hajawahi maliza nje ya top 4.
Tulia, uzuri kocha wetu anadai bado kuna vitu na style anaiingiza, so ni promising land.
Nowdays ball linapigwa, na UCL tunatoboa mpk semi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…