Ili kuanza kujaribu wachezaji wachanga inatakiwa timu iwe inaongoza labda goli 3 na mko dakika ya 80 hapo ndio unaweza kuwajaribu vijana wageni. Sisi hatujawahi hata kuongoza goli 2 bila dakika ya 80 kwa hiyo ni ngumu watoto hao kupata nafasi.
wright phillips alikua anatembea sana labda kama theo walcott umesahau ile gemu tunampiga city goli nne kwa tatu pale old trafford 2009/2010 micheal owen anatupia goli dakika ya 94 phillips alitutesa sana