Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mnaweza kuwaignore watu wa hivyo, hamtaona maudhui yao humu. Watatuma ujinga wataona hawajibiwi watajirekebisha. Watoto wenye matatizo ya kimalezi wapo wengi humu mitandaoni.
Punguza hasira,ni utani na kukerana tu .....
 
Unapata wapi ujasiri wa kumnanga bingwa mara 3 wa UEFA CHAMPIONS?

Nenda kapige umbea jukwaa la wenzako Totte na West ham.

Hapa ni jukwaa la Mabingwa wa UEFA tunashaurikana kibingwa zaidi.
Mnacheza lini UEFA CHAMPIONS mkuu?
Hapa tunashauriana watu tunaoshindana huko ligi ya mabingwa mzee, nyumbuz na nyukasto na wenzetu city wewe midtable karopokeane na kina LUTON huko eboh....
 
Nachelea kusema Chelsea irisharejea ilipotoka

Kwasasa Chelsea haina tofaut na Northgham forest Wana UCL 2 ila Ni timu inayopigania kubaki kwenye Ligi haina malengo hata yakushiriki conference league

Ndio Chelsea ipo hapo

Najua mnajidanganya Mtarejea ukweli nawaambia mm sio nabii ,Chelsea imesharejea ilipotoka

Soon mtahama timu


Wewe timu imetumia €1B kwenye usajili Lakini bado Ni dhaifu Sana .

Hamshtuki tu kuwa hiyo timu imeshakuwa Kam kina Northgaham Forest

Hakuna atakayewaambia ukweli huu isipokuwa Mimi najua mtachukia lakin ukweli lazima muambiwe
 
Hapa unafanya nini wewe?
hebu nenda ktk kilinge chenu cha kina LUTON huko
hata europa au comference huchezi unajipitisha kwa wanaume na khanga moja iliyolowa maji huku unatingisha wowowo nyambaaaaaf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…