Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni bas tu hawa Copenhagen na wnyw ni tia tia maji tu lkn izi game 2 za man u walipaswa kuchukua 6 out 6 points tena bila shida kbs.

Man u hata Europa hafai kwenda maana ni takataka kbs.

Ukitaka ujue hii club iko kwny situation mbaya tambua kwmb kwny hili kundi man u ndo kibonde.. Iyo inatosha kukwambia kila unalotaka kujua khs hali ya hawa mashetani wekundu.
 
Flano na Allypipi waje watueleze nn kimetokea ndugu zetu...hii sio kawaida🤠🤠🤠
 
ila kundi lao wanaweza kumaliza wapili. Tungoje wamalize mechi zao zote
Kwhy hata wakimaliza wa 2 mkuu unahis wataenda wap?

Yan man u kama wana akil timamu hata wasiangaike kumaliza iyo wa 2 au hata 3 kwend Europa.

Maana iyo Michuano nakuambia hapa wakipita watakuja kukutana na kipigo cha mbwa koko round of 16 watapata aibu ya karne.
 
inaweza kuwapa momentum na usono wa hali ya juu, ukapelekea kushinda mechi nyingi za premier league na champions league wakaenda zaidi mpaka kushinda double ama treble
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…