Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haya maneno hatabadilika baada ya kupokea tena vichapo mfululizo 😂
 
Antony aligoma kula ili asajiliwe Man Utd.

Onana aliigomea Inter ili asajiliwe Man Utd.

Amrabat yeye ndo akagoma hadi kufanya mazoezi ili asajiliwe Man Utd..

Sasa naamini utapeli hauwezi kuisha duniani!
Hakyamungu wallahi
 
Hivi huyu anthony inakuaje anashindwa kumpita walau defender hata mmoja panapotokea situation ya 1v1?
Ubora wake kama winga unatokea wapi ilhali hata kupiga krosi pia hawezi?
Nasubiri majibu toka kwa wataalam wa mpira.
Hawezi kumpita mtu cause mguu wake wa kulia hauna kazi.

Defenders walishamjulia wanajua atadash kuingia ndani wanatight space wanamwachia kulia na kupiga back pass tu.

Wanajua akienda wide hawezi kupiga cross game over

Kuna mechi alicheza left wing second half alipiga cross za kutosha.
 
UCL 2007 pale OT Man United waliwakaribisha Ac Milan
Gozi likipigwa sana dakika ya 5 Cristian Ronaldo yule wing harisi akatupia
, mtu wa Imani kali Kaka akazawazisha
kazi ikawa ngumu sana wanangu !! Kama haitoshi Kaka tena akaingia kambani shwaaaaa
Milan akawa Mbele pale OT , Hapo Sir Ferguson akawambia wanangu pandeni mbele
, hapo wafia timu wakabadili gear Daren Fletcher , Paul Scholes , Wayne Rooney , Michael Carrick Waka tawala sana pale kati 🫲
, si mda Wayne Rooney na jezi yake namba 8 akapigw kamba safi , kipa Dida akaokota mpira kambani
2:2 , dakika ya 90 fans wa Man United wamekata tamaa nusu robo final hiyo
Dakika za nyingeza 3 Ryan Giggs yule kipepeo akakimbia na mpira kama swala , akapuga pass kwa Wayne Rooney akapuga chenga sadi mbele ya Nesta kamba ya
Dida hana namna FT Man United 3 Milan 2 . Hii ndiyo Man United ya wafia timu , wakiwa na beki wa kawaida tu siku hiyo Wes Brown, Gabriel Heinze pale kati !

Sijui Leo itakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…