Jumamosi King Maguire atasimama pale mbele asaidiane na Højlund kutetemesha nyavu.Naona Maguire kuzaliwa upya.
Mmuanzishe mechi ya weekend dhidi ya City, ashirikiane na Evans kumzuia Haaland
Dah mwanangu hii timu ulishaisusa kabisaNimekuja kuwasalimu tu.
Chambua hizii picha7hag anafundisha brand gan ya football?
Nikisema huyu kocha Ni average nitakuwa nakosea?
Hapa chini Ni mechi tofauti Lakini uchezaji Ni ule ule
Je Nani walimpa Cheti Cha ukocha?View attachment 2793270View attachment 2793271
Ukiangalia mpira ukiwa na mabeki Kuna gepu kubwa Sana Kati ya mabeki na viungo kwa ajili ya ku progress mipira mbele ili timu pia iweze ku control mechiChambua hizii picha
Nyumbuz na utopolo wanafananaMan United 'are plotting a sensational return for 𝐃𝐚𝐯𝐢𝐝 𝐝𝐞 𝐆𝐞𝐚' just three months after he was released.
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |
Arteta alikaa miaka 5 hajui kuingia top 4.Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini 7 hag anamzidi uwezo kikocha
Ole gunar sosha
Malale hamsini
Juma Mgunda
Meja Jenerali mingange
Pastor Athanas wa Gwambina
Frank Lampard
Graham Potter
Michael Carrick
Wayne Rooney Waza
View attachment 2793413
Arteta huu Ni msimu wa 4 ,hiyo miaka mitano unadhani ukisema hivo ndio itaonesha 7hag sio average coachArteta alikaa miaka 5 hajui kuingia top 4.
Tuambie cha-goat alitumia mfumo gani miaka hiyo yote Bila top 4
5 years nyie kama arsenal mna nini au kombe gani kubwa?Arteta huu Ni msimu wa 4 ,hiyo miaka mitano unadhani ukisema hivo ndio itaonesha 7hag sio average coach
Arteta msimu wa kwanza bila bajeti yoyote anabeba FA cup na CS
7hag kapewa €500m now anaipeleka timu shimoni