Samahan mkuu huyo jamaa simjui ,but nilihisi Ni ID fulan ilikuwa inanitukana piaWewe jamaa nini kimekupata. Huyo jamaa kujibishana naye unajishushia heshima tu mwenzako ana ID kama uchafu
Leo Nilikuwa na stress Sana mkuu ,Kuna majanga yalinipata ,kuja Jf nifurahi jamaa ananifata na kunitukana tuHuyo ni Asenyau mwenzio, mtu kila sehemu anakufata na kukuprovoke kwa makusudi wewe badala ya kumignore maisha yaendelee unaingia kwenye mfumo na kuanza kutoa mineno michafu mwenzio ndio furaha yake.
Masingeli pamoja na utani wako kuhusu United lakini mashabiki tunakukubali na kukuheshimu ila ukishaanza kuingia kwenye mfumo wa matusi kila mtu ataanza kukudharau.
Kuna watu ni wa kuwapuuza tu ili maisha yaendelee, ukianza kujibizana na kila mwehu na wewe pia utaonekana ni mwehu.
Second half kama karudisha confidence, bado nina imani nayeOnana kashangilia sana goli la ushindi.
Aurier ana miaka 30.Sergei Aurier na ayew sijui wanatumia mzizi gani, ni ajabu kuona mpaka leo wanacheza ligi kubwa barani ulaya licha ya umri kusonga
Kwa muafrika ni mengi sana, wengi wao wanapotea wanapofika umri huo.Aurier ana miaka 30.
Ayew ana Miaka 32.
Mbona hujiulizi kuhusu Ashley Young mwenye miaka 38?
Hana wenge ,Ni kipa overrated
Ni kipa wa kawaida tu tofaut na mlivyoaminishwa kuwa anamzidi Degea
Rashfo hakuwepo. Ukumbuke hiloTutapongeza atleast bidii iliyoonyeshwa dakika za mwisho..
Waliokuwa wanasemwa hawafai Leo wameokoa kibarua Cha Kocha
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini eti MacTominay na Maguire Ni hawafai
Ni structure mbovu tu ya kocha
Taratibu aisee usiniropokeeMchambuzi mropokaji tu
Rejea mechi ya Brentford vs Man U tunagongwa goli nne msimu jana nani alichoma ayo magoli yote na wewe ulisemaje iyo siku
Leo mmeshinda unapayuka tu, mkifungwa unakimbiagaStructure mbovu ya kocha kivp we mropokaji
Ingekua ivo unavyosema wewe wasingeingia
Leo mmeshinda unapayuka tu, mkifungwa unakimbiaga
Babu sisi top 4 uwakika wenyewe rivalry fans wanajua gari letu likiwaka limewakaKwa sisi analyst wa kimataifa.
Man united bado Ina nafasi nzuri. Shida ni graizer wanatakiwa wakabidhi timu.
View attachment 2774688
Pili. Kocha amuondoe rashfor na martial. Tim itasimama. Take my word. No bora abaki Maguire
Cha kwanza kabisa amsajili Luis OcamposKipara atakaporudi breaks
No more excuse tena kiparaa.
- Mount na bruno wagombanie namba 10. nimelikumbuka pambano la higuain dhidi ya benzema nyakati za mourinho.
- Casemiro apumzike.
- Fair play kati ya garnacho na rashford.
- Fair play kati ya antony na amad baada ya kutoka majeruhi.
- Kobbie, gore na hata hannibal wagombanie nafasi. Mpira haupimwi tena kwa hoja ya umri bali uwezo ndio maana lamine yamal anacheza kule barcelona.
- Nimemshuhudia fabregas akicheza arsenal akiwa na miaka 16 miaka 18. iliopita. Hoja ya umri ni muflisi
- Amad. Shaw, malacia, reguilon, wan bissaka....back from injuries
Rotation ndiye muokozi wake dhidi ya injuries
- Mechi yetu dhidi ya liverpool naomba inipitikie, kama namuona kipara akipanga kikosi cha mazoea. Wale mbwa watatutoa roho hiyo siku.
- Kabla kipara hajaondoka, atumalizie filamu yetu ya ukatili aliokwisha anza nayo.
- Nachungulia juventus, huyu Locatelli hastahili kucheza juventus, kibibi kizee atupe sisi huyu bwana then wao tuwape casemiro, varane na eriksen.
Mnaonaje