Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha siwezi mtetea sana

Ila hata arteta ikitokea kapata Injury za
Saliba
Gabriel
White na
Zincheko

Arsenal nayo itakua kituko,, hili ndo jambo linatutesa united sahizi. Back 4 yetu yote iko garage, kwa hali hii epl utateseka sana lazima.
Ligi mlianza na hao wote bado mlikuwa mnacheza pira magimbi

Mkasema akija Amrabat waungane na Casemiro apone na mount

Tunaona bado mnarukaruka


Sema tunagurahi bado huyu kocha aendelee kuwepo ,
 
We are fucking back!
Hii game itamuamsha 10hag kuzingatia subs za.mapema kuliko kila siku kikosi kinatabirika kama cha arsenal vile.

Kucheza tunacheza ila wapinzani wanapaki sana gari hasa ikitokea wanaongoza mechi. Walifunga kila tundu hadi unashindwa kumlaumu 10Hag kwa aina ya wachezaji alionao. Afadhali Eriksen alikuwa anajaribu kupiga through balls kati ya mstari wa ulinzi kwenda kwa washambuliaji wetu.

GGMU.
 
They already know what time is it

Nimuda wa kwenda kuchukua nafasi yetu pale top 4 after international break

GGMUN
 
Ila huyu onana inabidi akae benchi kwanza,, pressure ni kubwa, kaanza kuwa na wenge kama la magwaya.
Hana wenge ,Ni kipa overrated

Ni kipa wa kawaida tu tofaut na mlivyoaminishwa kuwa anamzidi Degea
 
They already know what time is it

Nimuda wa kwenda kuchukua nafasi yetu pale top 4 after international break

GGMUN
Top 4?

Kwa mpira huu wa janjajanja?


Yaan tayari mnaitaka top 4?

Nyie pambaneni muitafute nafasi ya 6-7

Hakuna atakayeruhusiwa kuingia top 4 kwa mpira makande safari hii ,watu wamesha raise Standard
 
Huyo Ni mwenzio
Huyo ni Asenyau mwenzio, mtu kila sehemu anakufata na kukuprovoke kwa makusudi wewe badala ya kumignore maisha yaendelee unaingia kwenye mfumo na kuanza kutoa mineno michafu mwenzio ndio furaha yake.
Masingeli pamoja na utani wako kuhusu United lakini mashabiki tunakukubali na kukuheshimu ila ukishaanza kuingia kwenye mfumo wa matusi kila mtu ataanza kukudharau.
Kuna watu ni wa kuwapuuza tu ili maisha yaendelee, ukianza kujibizana na kila mwehu na wewe pia utaonekana ni mwehu.
 
Hao marefa ndio hao pia walikuwa wanachezesha na UEFA,hasa za miaka 1999 na 2008?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…