10 hamuwez kufungwa hata 7 hamuwez kufungwa ,Hao Liverpool wenyewe pamoja wako pungufu lakini mpira wanaoupiga unajikuta tu unajiuliza hivi timu yetu inacheza football au hua tunacheza mdako
Kwa mpira huu tunaocheza tukienda Anfield tusipogongwa goli 10 ntaamini kweli uchawi upo.
We don't need new owner, we need Allah, this team is cursed
Dunia inawashangaa Manchester United, red devil mmekutwa na Nini hasa!!
Safari hii ni kumiHao Liverpool wenyewe pamoja wako pungufu lakini mpira wanaoupiga unajikuta tu unajiuliza hivi timu yetu inacheza football au hua tunacheza mdako
Kwa mpira huu tunaocheza tukienda Anfield tusipogongwa goli 10 ntaamini kweli uchawi upo.
Kuna mda ua unaongea point, lakin Conte hapana kwakwel.Wana mwalimu anayefundisha modern football na sio Haram football
Waliachana na Conte aliyekuwa anajificha kwenye kichaka Cha Dani Levi
Levy alimpa pesa akasajili Richarlson, kuluveski, N.k alisajili wachezaji aliowataka ,but Conte hawez Tena kutamba na Haram football kwa Ligi Kama EPL ,
Ujinga wa bodi ya manjesta wakimtimua 7hag watamuajili Conte
Last season tukiwa kwenye hali mbaya ila tuliwafunga mabao 710 hamuwez kufungwa hata 7 hamuwez kufungwa ,
Ila Sion mkishinda
Mna kocha wakawaida sana
Nikizikumbuka zile kelele za Amrabat humu kati kati ya wiki basi nacheka sana!
Kwahiyo ndio mmesajili kile kichekesho!
Alafu ndio kaongezewa mshahara 350k
Ujinga wa kocha ndio unatuponza, ameshaona kuna wachezaji hawachezi kama team lakini bado anakomaa nao. Rashford kwa sasa ni kama kirusi kwenye timu. Hajui ni wakati gani acheze na mpira na wakati gani atoe pasi.
Tuna kikundi cha wachezaji wazuri lakini hatuna timu.
Conte had Sasa Hana timu ,watu washaachana na makocha old schoolKuna mda ua unaongea point, lakin Conte hapana kwakwel.
Siwezi nikashinda Kule the gunners wakati huku Kuna msiba
Muungwana anaenda msibani then atarudi harusini
Marehemu amefia nyumbani, hakuna Mambo ya kusafirisha
Epl pagumu sanaConte had Sasa Hana timu ,watu washaachana na makocha old school
Ndio maana namkubali Sana Mourinho hawez kurud EPL kwasasa
Spurs hawakumuangalia uson ConteTuache utani wazee inaweza kuwa kweli Ten Hag tumepigwa. Mnaona mambo wanayofanya Spurs? Iweje kila siku sisi tu ndiyo project zetu zinafeli!!!