Kuanzia sasa siwezi fuatilia mpira wa utd nadhani Glazer sio tatizo, tatizo ni makocha wajinga, huwezi mpanga mchezaji mchoyo kama Rashford mechi wakati hakupi matokeo unawaacha vijana wenye uwezo nje.
Tungejua nafasi ya kushiriki UEFA msimu huu tungewachia tu hata Liverpool, yaani tunacheza utumbo mkubwa mno, Leo mwisho kuangalia game za Manchester United.
Tungejua nafasi ya kushiriki UEFA msimu huu tungewachia tu hata Liverpool, yaani tunacheza utumbo mkubwa mno, Leo mwisho kuangalia game za Manchester United.