Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanangu mi tu ningewaambia kuwa tusidanganyike na kaushindi ka jana,

Ten hag ni mmbovu.

Crystal palace ni wabovu ndio maana tuli dominate

Na walikuwa wanakabia nyuma wa mstari wa kati kati.

#TENHAGOUT
#GLAZERSOUT

Crystal palace uyu ambae arsenal alishinda kwa tabu sana tena kwa penalty
Katoa sare na brentford
Kampiga wolves
Katoa sare na fulham
Team Kama hiyo unaeza sema ni mbovu kwel??
Yes Manchester yetu haiko vzuri lakn angalau tumeona utofauti jana
 
Amrabat alivyokua anafanya Interchanging na Casemiro wala huitaji kuuliza tatizo lilikua wapii, Casemiro tangu aje United mechi ya jana nahisi ndio kaenjoy sana, anacheza huku hana presha na eneo analoliacha wazi anajua upara anafukia tu mashimo.
Garnacho yuko moto sana, Hannibal akipoteza mpira aisee anausaka sana.

*Yule Eze hastahili kucheza Palace kabisa, Ten hag afanye juu chini dirisha dogo atue kwenye matofali ya kuchoma tufanye swap ya Sancho kabla tajiri miluzi hajaona zile rasta zake.
 
Mechi inayofata Rashidi na Eriksen wanaanza kama kawa,
Hii timu tokea aondoke SAF Management ilikaa na kushauriana kwa pamoja kua mashabiki wa Man Utd hawapaswi kua na furaha ya kudumu.
 
Steve Bruce: “You can’t go on social media and start 𝐜𝐫𝐢𝐭𝐢𝐜𝐢𝐬𝐢𝐧𝐠 the coach, at the end of the day he [Ten Hag] is 𝐓𝐡𝐞 𝐁𝐨𝐬𝐬 .”

“I would urge him to get in there, knock on the door and see if he can work things out.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |
 
𝐓𝐨𝐭𝐨 𝐥𝐚 𝐓𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠 𝐋𝐢𝐦𝐞𝐭𝐢𝐚 𝐦𝐚𝐠𝐮𝐮 𝐋𝐨𝐧𝐝𝐨𝐧.

Antony is returning to England as he faces police in the coming days to defend himself against allegations made about him.

[The Sun]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |View attachment 2763934
 
Difference in market value and purchase value


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |
 
𝐓𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠: "If you don't win, of course, there is frustration and disappointment and the mood is then dropping. But the spirit was always good, the togetherness was there and is there - you could see that today."

𝐓𝐞𝐧 𝐇𝐚𝐠 on standout performers: "We had many young players on the pitch and you see they are progressing. With me, you don't just get the opportunity, you have to deserve it. Those players who were coming on - Hannibal, Garnacho, Pellistri, Dan Gore - they deserve it and they have to show it every day in training. Then you get an opportunity and have to take it."


[Sky]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |
 
| Erik ten Hag: "Garnacho? It's completely normal for a player of his age to have a lot of room for improvement. Everyone loves him, the fans love him, the team loves him, I love him, but we also have to be demanding with him and push him.'


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |
 
| Erik ten Hag: "Onana? A clean sheet will always give a goalkeeper confidence and especially when you contribute with saves like Saturday and today."


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |
 
Huyu Hojlund ilikua ni gambling na tumepigwa

Heri wamrudishe rashidi namba9 huyu apelekwe team B huko ya vijana akajaribu kukuza uwezo wake
Mechi ya jana umeangalia? Højlund kaingia muda watu wamechoka na Palace wakapaki basi. Wachezaji wetu walikuwa wanapiga pasi tu bila threat yoyote. Tena Højlund alifanya vizuri pale mbele kwa dk chache tu alizocheza.

Angalia hizi stats za PL.
 
Kuanzia aanze kucheza sioni madhara yake kama namba9 kiukweli hata nafasi anazopata nyingi anaishia kushika kichwa


We need clinical no9 sio mambo ya weghost tena.
 
Kuanzia aanze kucheza sioni madhara yake kama namba9 kiukweli hata nafasi anazopata nyingi anaishia kushika kichwa


We need clinical no9 sio mambo ya weghost tena.
Atafunga kwa nafasi zipi sasa! Goli alilofunga vs Bayern ni pasi kutoka kwa Rashford. Goli lililokataliwa vs Brighton ni pasi kutoka kwa Rashford.

Wingers zetu butu, kiungo hakimiliki mpira. Pia, wachezaji wenzake ni kama hawamuamini, rejea alivyokuja Ronaldo ilikuwa kila mpira anapewa yeye kutokana na profile yake. Hata Højlund wakimuamini wenzake ata-improve.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…