,.....
Nzi Belo mfarisayo Mndengereko @Belindajacob et al....
nawatakia Ushindi leo,....
sio kwamba nawapenda sana, la hasha...ni kwakuwa hawa
#Chelsea
hususan kina
King'asti tangu jana wana NgebeNaMasanga meeeengi kisa eti ni team pekee ya Uingereza
wamevuka Champions League....
Wazibeni Mdomo kidogo, halafu
#UmburuKenge wenu tuendelee kuubeza mtapokutana na Bayern Munich/Barcelona au Real Madrid....
Wishing You The Best, (Leo tu!)