Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ok tuchukulie hayo yote yana ukweli,
Je hao makocha hawafundishwi elimu ya kulinda heshima zao.

Si uvunje mkataba kwa mutual agreement.
 
Script ya wachezaji wa United iko obvious kwa makocha watatu sasa.

Ila kuna uwezekano mkubwa sana hawana fitness coach.

Hiyo squad fitness yake ni ndogo sana ndiyo maana hata basics za kawaida wanashindwa.

Wamebadilisha makocha wengi ila sijaona wakibadili fitness coaches ilihali the script is obvious.
 
Kama ni hivyo basi awajibike hata kama hana makosa.

Ndio maana wao makocha wanakuwa wa kwanza kufukuzwa.

Huwezi kufukuza wachezaji kwa kumlinda kocha mmoja
Yes lakini atakuwa na excuse ya kutokuwa backed kwenye transfer window.

Unasajiliwa wachezaji too late na bado unaletewa fifth choice.

Unafanikiwaje kwenye working environment ya hivyo.
 
Kama ni hivyo basi awajibike hata kama hana makosa.

Ndio maana wao makocha wanakuwa wa kwanza kufukuzwa.

Huwezi kufukuza wachezaji kwa kumlinda kocha mmoja
Anawajibika sana tena kwa nguvu kubwa timu hiyo inahitaji overhaul otherwise tunarudi kutafuta care taker mwingine.

Halafu Ten Hag ataenda kukusanya vikombe kwingine
 
Wanetu #Chelsea mtupasulie aston Villa mje tukae nafasi za juu huku taratibu kwa pira letu papatu tunaenda kwenda kwenye vinafasi vyetu uchwara ila ndivo ilivo pangwa maana mkubwa ni mkubwa tu skuzote

As brothers we win together lose together
Man utd
Chelsea to top 7 our first priority then we aim more further
 
Anawajibika sana tena kwa nguvu kubwa timu hiyo inahitaji overhaul otherwise tunarudi kutafuta care taker mwingine.

Halafu Ten Hag ataenda kukusanya vikombe kwingine
Wanachotakiwa kufanya hao makocha ni tendo la kishujaa...
Toka mbele ya camera na uzungumze yanayokusibu hata kama utavunja maadili.

Usisubirie mashabiki wameshafurahia kuondoka kwako ndio uteme ya moyoni juu ya klabu na yaliyo nyuma ya pazia.

Kukaa kwao kimya na kukaribisha matusi dhidi yao.

Hayo unayoyazungumza nayafahamu vizuri sana, solution pekee ninayoiona mimi ndio hiyo.
 
Kama makocha tushabadili wa kutosha lakini hali ni ileile tu,
Kama wachezaji nao tushabadilisha wengi tu lakini mambo ni yaleyale tu.
Kilichobaki sasa hivi ni kubadilisha wamiliki, timu akikabidhiwa mwarabu halafu mambo yakaendelea kua vilevile kilichobaki itakua kutafuta jiwe kubwa kisha tunaliviringisha kwenye club na kwenda kuitosa baharini.
 
Script ya wachezaji wa United iko obvious kwa makocha watatu sasa.
Rashford
Martial
Luke shaw

Ndio wachezaji pekee waliobakia waliofundishwa na makocha watatu.
Wawili kati yao tayari wameshapewa kandarasi mpya na ten hag, tafsiri yake ni kwamba anawaamini.

Kama wanamgeuka asilie, amewaamini mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…