Kwa mwalimu kufanikiwa hapo United anahitaji squad of atleast 9 first starters wapya.Kipara angelikuwa kocha wa simba au yanga kwa huu mpira wa leo angelikwisha andikiwa barua ya kuachishwa kazi
Ok tuchukulie hayo yote yana ukweli,Kwa kundi la wachezaji alilonalo Ten Hag mtamtukana bure tu.
Ni kundi hilo hilo walishindwa kufanya pressing chini ya Rangnick wakawa wanacheza dakika 30 zingine wanarudi default mode.
Mwanzo wa msimu wa 2021/2022 Ten Alitaka kucheza mpira wake kilichotokea sote tuliona, aliamua kubadili mbinu kumitigate risks timu ilikaa sawa.
Msimu huu pia amejaribu kurudi kwenye mfumo wake tumeona yanayotokea ni pattern ya hao wahuni.
Hata wakifundishwa na Mungu hawatabadilika.
They are uncoacheable.
Nani anayependa kuishi mjini bila kazi ?Ok tuchukulie hayo yote yana ukweli,
Je hao makocha hawafundishwi elimu ya kulinda heshima zao.
Si uvunje mkataba kwa mutual agreement.
Kama ni hivyo basi awajibike hata kama hana makosa.Nani anayependa kuishi mjini bila kazi ?
Yes lakini atakuwa na excuse ya kutokuwa backed kwenye transfer window.Kama ni hivyo basi awajibike hata kama hana makosa.
Ndio maana wao makocha wanakuwa wa kwanza kufukuzwa.
Huwezi kufukuza wachezaji kwa kumlinda kocha mmoja
Hamna mwenye quality ni bora xhabi alonso wa Leverkusen au ZidaneNani ataenda kumreplace Ten Hag ?
De Zerbi ? Bielsa ? Au Conte ?
Anawajibika sana tena kwa nguvu kubwa timu hiyo inahitaji overhaul otherwise tunarudi kutafuta care taker mwingine.Kama ni hivyo basi awajibike hata kama hana makosa.
Ndio maana wao makocha wanakuwa wa kwanza kufukuzwa.
Huwezi kufukuza wachezaji kwa kumlinda kocha mmoja
Hii imeenda#tenhagout
Msidanganywe na ushindi huu wa kiseng
Zidane mwenyewe alikimbia Madrid mwishoni aje abadilishe squad iliyooza kama United ?Hamna mwenye quality ni bora xhabi alonso wa Leverkusen au Zidane
Wanachotakiwa kufanya hao makocha ni tendo la kishujaa...Anawajibika sana tena kwa nguvu kubwa timu hiyo inahitaji overhaul otherwise tunarudi kutafuta care taker mwingine.
Halafu Ten Hag ataenda kukusanya vikombe kwingine
Kama makocha tushabadili wa kutosha lakini hali ni ileile tu,Nahisi internal talks zisha anza teari na management isha anza slowprocess zakutafuta mbadala wake 10hag na hii ndio shida ya ku coach big teams huwa zinataka matokeo tu no further excuses
Swali
1 nani (kocha gani) atakaeweza kuja kuhimili miki miki za glazzerz na kina rashidi bruno sancho
2 atadumu au naye atapewa muda then tutamfurusha
3 jee tutazidi kwenda mbele au ndo tunazidi kujichimbia kaburi
RashfordScript ya wachezaji wa United iko obvious kwa makocha watatu sasa.
Hata akija Guardiola kwa hii management ya United nae ataonekana mbovu tu.Nani ataenda kumreplace Ten Hag ?
De Zerbi ? Bielsa ? Au Conte ?