Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nani kama mimi anatamani tufungwe tu maisha yaendelee kwa maana hatujui tunachokifanya then ten hag afukuzwe tupate kocha mwingine
 
T
Nani kama mimi anatamani tufungwe tu maisha yaendelee kwa maana hatujui tunachokifanya then ten hag afukuzwe tupate kocha mwingine
Tills, when tutafukuza makocha, ushajiuliza kwanin wamiliki wasiwavunjie mikataba wachezaji mizigo, na wampe kocha watu anaowataka ili ndio tumuhukumu.
 
Watani zangu, Kuna matusi mapya au Yale Yale ya siku zote?
 
Kuna Lord Harry magwaya alafu Kule juve Kuna chuma kinaitwa GATTI

dirisha la kiangazi mlihusishwa nae huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…