King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,314
- 5,988
Yaani we acha tu, utafikiri kocha ndio mmiliki wa timuMmefukuza Moyes mjalizika
Mmefukuza Van gaal mjalizika
Mmefukuza Mourinho mjalizika
Mmefukuza ole mjalizika
Sasa sio mtafukuza kila kocha sasa.
Pipi ,hivi unadhani fans wote wa manjesta wanaridhika na mpira wa ujanjaujanja?Mmefukuza Moyes mjalizika
Mmefukuza Van gaal mjalizika
Mmefukuza Mourinho mjalizika
Mmefukuza ole mjalizika
Sasa sio mtafukuza kila kocha sasa.