Kuna muda football huwa ni mchezo wa kipuuzi sana. Sasa hivi tumefungwa mechi kadhaa kila mtu #TenHagOUT na nyie rivals mmeanza kuja na tabiri zenu kuwa tutamaliza nafasi ya 12.
Last season hivihivi tuli-struggle tukaambiwa top 4 ni ndoto tukafika kwenye fixtures upepo ukawa wetu ilikuwa tunapiga kwa clean sheet, ilipofika mechi ya City tukampasua OT vigazeti na wachambuzi uchwara wakasema tupo kwenye "Title race" msimu huu tumekutana na tough opponents na injuries tayari mmeanza kusema EtH ni overrated.
Arsenyani vs United mlicheza vizuri ila huwezi kusema ni mechi ambayo kama defense yetu ingekuwa vizuri mngeweza kutufunga magoli ya kizembe namna ile. Goli la Γde pekee ndiyo lilikuwa halizuiliki.
Ni suala la muda tu wote mtakubali.