Mimi nilimpiga 4 kwake,Arsenal pia alipigwa 3 bila Emirates na huyo huyo Brighton. View attachment 2755253
Tatzo liko wapi tukiwasajiliKOCHA KAAMUA KUWA DALALI
π π£π¬π
Wafanyakazi wa klabu ya Manchester United wameelezea wasiwasi wao Juu ya uhusika wa wakala wa Kocha Eric Ten Hag kwenye maswala ya Uhamisho wa Klabu hiyo,
Wakala wa Ten Hag Kees Von amekuwa na ushawishi mkubwa kwenye maswala ya uhamisho huko Old Trafford kupitia kampuni alilolianzisha Ten Hag
Baadhi ya Wafanyakazi wa Klabu hiyo wameeleza juu ya wasiwasi wao kuhusu Wakala huyo ambaye ni Mgeni wa kawaida tu ambaye nyuma ya Pazia amekuwa na ushawishi mkubwa kwenye uhamisho wa w wachezaji kusajiliwa na Inaelezwa yeye ndio aliopendekeza Majina ya Rasmus HΓΈjlund pamoja na kiungo Sofyan Amrabat kusajiliwa,
Basi mkipigwa msisisngizie 7hag hasapotiwi kwenye usajiliTatzo liko wapi tukiwasajili
Kihalisia huna Timu ya kuweza kupiga walau pass 10 kwa usahihi,Kwa siku nyingine tamukabisa vijana barobaro sisi tunashuka Tena leo kuonyesha makali yetu watapigwa Sana waleee.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Bayern Munich 1 vs Manchester United 2
4:00 usiku
Allianz Arena
Kauli mbiu yetu
Pigaaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaa
Chinjaaaaaa
Pain went straight to Wenger orphans and cheltako livap*mbu
Itakuwa tu ni rahaa wakubwa
GGMUView attachment 2755501
Baryen 4 manjesta 0GGMU
Wewe si ukishapigwa marufuku na nyumbu wenzako kuhusu hizi tabiri zakoKwa siku nyingine tamukabisa vijana barobaro sisi tunashuka Tena leo kuonyesha makali yetu watapigwa Sana waleee.
Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Bayern Munich 1 vs Manchester United 2
4:00 usiku
Allianz Arena
Kauli mbiu yetu
Pigaaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaa
Chinjaaaaaa
Pain went straight to Wenger orphans and cheltako livap*mbu
Itakuwa tu ni rahaa wakubwa
GGMUView attachment 2755501