Yani ten Hag na mwanae ndio walijifanya wajanja kutaka kumuondoa Maguire ili wapige pesa😃Mtoto wa Erik ten Hag ameajiriwa katika kampuni ya uwakala ya SEG ambayo imefanya biashara nyingi zaidi Old Trafford msimu huu wa joto.
SEG ndio imemleta Rasmus Højlund na Sofyan Amrabat, na walihusika katika mazungumzo ya kutaka kumuuza Harry Maguire.
[@MattHughesDM]
😂😂😂😂7hag jisni alivyokua anampanga masebene, over Sancho
Kuna uwezekano 7hag ana asilimia zake kwenye wage wa masebene
Unaona kabisa Kuna uwezekano wanagawana mshahara wa Antony ndio maana anampanga sana
Arsenal pia alipigwa 3 bila Emirates na huyo huyo Brighton.Hiki kikosi Cha Brighton kilipiga pass 30 bila mchezaji wa manjesta kugusa ,Hadi likapigwa goli
Nini unajifunza?
Kocha wa manjesta Hana mbinu
Timu haina playing style ya kueleweka
Timu haijui kukaba
Matatizo haya Ni uwezo mdogo wa Benchi la ufundi ,sio Grazzer familyView attachment 2755232