Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna kale kachambuzi koko bingwa wa kutukana matusi mnaposema ukweli sijui kamefia wapi,

Sometimes tunatakiwa kuweka unazi pembeni na kuzungumzia uhalisia, ten hag hawezi kutufikisha popote, mara 100 David Moyes (najua hapa hamuwezi kukubali but time will tell)

Matusi mliyokua mnanitukana kipindi cha pre season yaleteni tena, ten hag asipofukuzwa tutakua na bahati sana kumaliza ndani ya kumi bora.

Kituo kinacho fuata ni kufirimbwa na bayern
 
Nikiwa kama mwenyekiti asiye wa kuchaguliwa wa thread hii..
Natamka rasmi kumzuia bwana allypipi kuwa mtabiri wa mechi zetu kwa msimu huu.

Nafasi yake itazibwa na mwenyekiti mpaka pale atakapopatikana bwana kalimanzila mwengine.

16/09/2023.

Nakala:
wafuasi na wanachama wote wa hii thread.

Katibu mkuu fuentte
Mwenyekiti mstahafu Belo
Waziri wa stress Darmian
 
Hii presha yakufungwa 10hag asipoweza kui handle basi ndani ya mechi 10 zijazo zitaamua hatima/fate ya kibarua chake ndani ya team... Afanye ile miracle ya last season worst start then tuka click upon gameweeks goin 7-10 gm/w tuko top 6
Uwezo wake ndio umeishia hapo, hana plan B, hajui hata afanye nini,

X-mass hafiki huyu
 
Kusema ukweli,
Rashford hakuna kitu,

ETH sio kocha, ni muhuni tu, huwez tusajilia kina hojlund halafu unataka kushindana,

Wamiliki nao wajinga, hawana watu smart wa kazi,
 
Al-Hadidy 😂
 
Kocha ni fala,anakariri wachezaji. Pellistri unamuacha nje,Gernacho unamuacha nje,Rasmus anakosa mlishaji pale mbele. Kocha anamuogopa Rashid??
Uchawi mkubwa wa timu yetu ni Rashid na kocha,hajapata kikosi mpaka leo. Kwanini ukomae na watu wasiokupa matokeo chanya?? Weka benchi wape watu wengine nafasi
 
Tatizo si kocha...
Usikajibu hako kapumbavu, kanachoshindwa kuelewa nikwamba tatizo lipo kwa wamiliki na hata ukisema ukaelezee ni kwanin? Wamiliki wanaplay part kubwa kuimaliza hii club still hakatoweza kuelewa chochote.
 
Hii presha yakufungwa 10hag asipoweza kui handle basi ndani ya mechi 10 zijazo zitaamua hatima/fate ya kibarua chake ndani ya team... Afanye ile miracle ya last season worst start then tuka click upon gameweeks goin 7-10 gm/w tuko top 6
Hawez kurudia ile miracle ,tulisema kwa uchezaji ule hauna maisha marefu

Degea alikuwa msaada Sana kwa playing style ya kaunta

Kuna mech had na Leicester city mlipelekewa Moto Sana mkashinda 1-0 , ila Degea aliokoa goli nyingi

Miujiza Kama hiyo msimu huu Hakuna ,
 
Walikuandama Sana mkuu, ukweli mchungu ETH hata kwa Ole anazidiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…