Manchester United (Red Devils) | Special Thread

bro hamis77 tunaomba uje utujibie ili swali maana unalikimbia kila siku kujibu hapa zaidi ya kuja kupiga kelele arteta masterclasses kainua kinda gani toka academy kwa miaka 5 aliyokaa hapo Wenger orphans.
 
Umeongea pumba za kutosha nyingi

Nilipoona et Arteta ana misimu mitano nikaishia hapo hapo ,

Unauliza Arteta kuwapa nafasi vijana pale Arsenal ?

Arsenal toka last season ndio ilikuwa timu yenye umri mdogo average ya miaka 24 tu

Unajua Saka , Martineli,Saliba , aliwakutaje na Sasa wapoje ?
 
bro hamis77 tunaomba uje utujibie ili swali maana unalikimbia kila siku kujibu hapa zaidi ya kuja kupiga kelele arteta masterclasses kainua kinda gani toka academy kwa miaka 5 aliyokaa hapo Wenger orphans.
Na wewe unamuamini huyo jamaa anakwambia Arteta ana miaka mitano ,Arteta kaja Arsenal 2019 January ,Sasa had leo ni miaka mitano ?

Yaan unaburuzwa unakubali


Kina Saka , Smith Rowe,Saliba ,sio makinda pale Arsenal

Au unadhan aliwakuta hiv walivyo ?

Saka kamkuta Ni beki wa kushoto , Martinelli kamkuta miaka 18 anacheza Sana mech za academy ya Arsenal, sawa na Smith Rowe ,yeye ndiye kawapa jezi no.7,10, na 11

Uliza swali lingine
 
Unaandika kwa hasira ila ukweli unaujua 7 egg ni kocha tapeli

Ndio Maana amepewa £400m lakin mnalilia timu haieleweki
 
Hawezi kujibu.
Mzee baba Hilo nalo ni swali ? Kwanza Ni uongo Arteta Hana miaka mitano pili Kazi yakuinua vipaji pale Arsenal haijifichi

Huyu 7 egg niliwaambia awali kabisa

Uzuri Leo mnakiri wenyewe

Tena wewe ulikuwa unatetea Sana sajili ya Anthony masebene,
 
Garnacho

Huyu tulisema ni mchezaji wakawaida Sana ila kwakuwa mna wachezaji wengi wa ovyo Basi huyu mtamuona ni talent

Huwa nasoma comment mnavyomshambulia akianza

Ni hivi Garnacho kwa 7 Egg hawez ku develop zaidi ya hapo alipo atapitia njia zile zile za Elanga


Maino the same , hawez kudevelop kwa 7 Egg


Ni lini mtaacha ku pretend 7hagg Ni kocha mzuri wakat ukweli mnaujua 7hagg Hana uwezo hata kwa kocha Kama UNAI Emery
 
A Dutch David Moyes Erik 7 hag

Alipewa €250m kapata Carabao Cup

Wanazi wanakwambia anajua

Ukweli utabaki pale pale ,A Dutch David Moyes Erik 7 Egg ni kocha wakawaida Sana

Wala lawama wasipewe Graza family


Amepewa mamlaka kwenye usajili

Anatoa €100m kwa Anthony

€70m kwa Casemiro ambaye hawez kutumika zaidi ya misimu miwili


Kwa Sajili ya Anthony ambaye Ligi ya wakulima hakuwahi vuka goli 10 ilipaswa pale pale mshtuke huyu kocha ni tapeli
 
2019/20
2020/21
2021/22
2022/23
2023/24

Misimu 5 hiyo ya Arteta. Kazi ipi ya kuinua vipaji haijifichi? Lete majina ya wachezaji aliowa-promote Arteta kutoka Academy.

Ten Hag, kwanza timu imemfelisha kwa kutomletea 1st choice zake ila bado EtH hawezi kukwepa lawama.

Antony siyo usajili mbaya, tatizo lipo kwa watu wa juu kuchelewa kwao kufanya maamuzi ndiyo kumepelekea wakatoa €100m.

EtH anachonikera kwa sasa ni kutumia wachezaji walewale wanaomfelisha kila siku. Masuala ya hela hahusiki maana siyo anaye-negotiate.

Ila baada ya kutumia £400m nilitegemea tutakuwa bora dhidi ya mid-table teams matokeo yake sisi ndiyo tunacheza kama timu ya Championship.

Mimi sitaki tuwafunge Liverpool au City home & away. Nataka kuona angalau tukicheza mpira wa kueleweka na kuziadhibu timu kama Nott'm Forest ipasavyo. Wolves kucheza mpira ule Old Trafford haikubaliki. EtH inabidi timu yake ifanye sasa yale anayoyaimba kila siku, maneno yanekuwa mengi kuliko vitendo.
 
Swali kwa wakereketwa wa A Dutch David Moyes Erik 7 hag


Limeulizwa na shabiki wa manjesta huko Uingereza


Serious question. Why have De Zerbi, Postecoglou and co managed to get the team playing a great style of football in such a short amount of time, but Ten Hag has us playing like Dyche’s Burnley?
 

Usiongee kishabiki ,Arteta Hana misimu mitano ,

Kapewa timu 2019 January amalizie msimu kwakufukuzwa Unai Emery hakupewa hata 100 , akabeba FA. NA CS mbele ya Pep na Klopp

7hagg toka amekuja manjesta mchezaji gani kamdevelop ?

Why hata anaowasajili wamekuwa ovyo kuliko aliowakuta?

Mfano Anthony na Elanga au Pellistri

Weghost

Malacia

Mount

Timu Kama forest, wolves mta struggle Sana sababu moja tu ile ile naisema daily 7 hag uwezo wake mdogo

Ajax hata akienda mgunda atafanya vzr Tena anaweza mzidi 7hag

Ajax ,Celtic sio vipimo vya kumpata kocha Bora

Soon mtakubaliana na Mimi pamoja na kuwalaumu Grazzer, 7hag uwezo wake kimbinu ni mdogo
 
Mimi ni mjumbe tu

Limeulizwa na shabiki wa manjesta huko Uingereza

Serious question. Why have De Zerbi, Postecoglou and co managed to get the team playing a great style of football in such a short amount of time, but Ten Hag has us playing like Dyche’s Burnley?
 
Mawazo ya 7hagg

Goal - MOUNT
Assist - CUCURELLA

Chelsea 0-1 Manchester Utd (90 mins)

 
Kwahiyo Jpil mnaleta beki ya Shotii na Magwaya au Shotii na Evans au Shotii na Lindelofu ?
 
Kwamba mtakuja na

Bisaka Lindelufu Shotii dalot


Dalot huyu amkabe Bukayo Anyonyika Temidayo saka?


Kiungo mnaweka Casemiro babu Eriksen babu na Buruno malalamiko

Wapambane na hii combinenga ya Zinny Rice Partey Ødegaard Fundi mmoja na nusu

Aisee


Nacheka Lakini naogopa
 
Hii debate haitaisha tusubiri tu kuona Arteta na EtH watafanyaje. Muda ndiyo kila kitu, ipo siku itajulikana nani ni kocha bora.
 
Hifadhi maneno 😄 unajua vizuri mpira wetu. Butua-butua dk 90 tunaondoka na points 3.
 
Hii debate haitaisha tusubiri tu kuona Arteta na EtH watafanyaje. Muda ndiyo kila kitu, ipo siku itajulikana nani ni kocha bora.
Haihitaji ushabiki au kurunzi, kujua 7hag kocha wa kawaida ,na mpaka atafukuzwa hatapata playing style hapo manjesta

Ananikumbusha Unai Emery pale Arsenal, tulimpinga Sana japo alipata watetezi ,mwisho alitimuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…