Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bila Kuwasahau Newcastle jitu kama Joelinton, Wilson, Dany Burn yaani mijitu ya kuforce kona inaingia, Brighton kuna Wellbeck akiwa kwetu alikua mwembamba kuna Dunk,

Aston Villa kuna vijitu ila vimekomaa na majitu kweli kweli Watkins, Mings, Khonsa, House. Namkubali Watkin dogo mkatili ana nguvu mpaka ya shuti sifa za strikers.

Njoo Tottenham aliyetuadhibu ni Sarr ni dogo ila amepanda intensity kila sehemu

Arsenal ndio wako kama sisi ila kidogo wanatuzidi intensity.


Palace nayo ina mijitu Schlupp, Guehi, Edouard.


Litimu langu, Unaona kabisa kama hawali vile mwangalie Varane, Martinez, Dalot, Wan Bissaka, Mount, Ericksen, Mbele Martial, Bruno, Gernacho unajiuliza wananyanyua nondo kweli.
 
Huyu Barcola a Gem naona PSG kila akiulizia anakula za uso. Ila Diomande should be our Priority.
Barcola Mtu na Nusu na PSG wanaona anaeza kuwa Mbadala wa Kylian, anaweza asiwe na Uwezo wa Mbappe ila Ni mtu haswa!

Diomande CB kweli kweli changamoto ni Mwafrika nina wasi wasi sana na Umri wake, Jamaa ana Maturity kubwa sana to be 19yrs na kibaya zaidi soka kaanzia Africa kabisa, bora hata angezaliwa Europe wawe na zile taarifa sahihi. {Ishu ya Umri naona ni Concern kwa sababu angalia Bailly, Koulibaly, wangekuwa Elites CB's sana toka Africa ila injury zisoisha naonaga Umri halisi unakuwa unafanya kazi. Silva angekuwa chaguo langu but tunahitaji Depth tukiweza beba wote.
Xabi Alonso
Thiago motta
Amorin

Kitu Kizuri na-Appreciate kuhusu hili jukwaa tofauti na Majukwaa Mengine ya Timu ni kwamba Huku watu wengi wanaangalia MPIRA Badala ya kuangalia TIMU! Respect sana kwako Gwiji! Hao makocha umetaja litakuja kuwa tatizo jipya karibuni tu! Ila katika List naweza Add Marcelo Gallardo {Huyu ndo kawatengeneza Enzo Fernandez na Julian Alvarez} Andoni Iraola {Last Season kasumbua Sana Real na Barca akiwa na Rayo Vallecano yake, Bournemouth anaeza akawa na Suprize nyingi season hii kwa sababu ya huyu Jamaa} Simone Inzaghi ni Wildcard Pia.
 
Watu tunaendelea kujipa moyo ila tambueni kuwa ten Hag hatatufikisha kwenye summit.

Usajili wa kijinga na system isioleweka.

Huyu hata tumpe bilioni 2, atacheza mpira kama wa burnley kwa maana ndio wa level wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…